“Mungu ni mkubwa sana, wote tuliokaa hapa tuliathirika na madawa ya kulevya na tumepona kwa kunywa dawa moja tu inayoitwa Methadone inayopatika Muhimbili na Mwananyamala pekee, ni bure kabisa tunamshukuru sana Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutuletea dawa hii,” aliandika Ray C ambapo wengi walimpongeza kwa hatua hiyo