Like Us On Facebook
Showing posts with label UKAHABA. Show all posts
Showing posts with label UKAHABA. Show all posts

AUNT EZEKIEL ANASWA AKIJIUZA JIJINI DAR,TAZAMA MATUKIO KATIKA PICHA

1
Msanii mwenye nyota ya kung’ara katika tasnia ya muvi Bongo, Aunt Ezekiel Gryson ‘Gwantwa’ amenaswa  akiwa katika   foleni  ya  makahaba  ya  kujiuza  , jijini Dar…Shuhudia  picha  hapo  chini
2
11

NOMA SANA:SHOGA ANASWA AKIJIUZA USIKU WA MANAE HUKO MORO...TAZAMA PICHA ZA MATUKIO HAPA..


AMA kweli dunia imefika ukingoni! Ile Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, bado ipo kazini ikishirikiana na polisi ambapo safari hii imeibuka na kigongo cha aina yake baada ya kumnasa ‘mwanaume tata’ akijihusisha na ukahaba, Risasi Mchanganyiko lina mzigo kamili.
Mwanaume tata baada ya kunaswa na OFM akijihusisha na ukahaba.
Ikiwa kwenye fumuafumua ya magenge ya ngono maeneo ya Kahumba mjini Morogoro hivi karibuni, OFM kwa mwaliko wa jeshi la polisi, ilipigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na mwanaume huyo aliyekuwa amejumuika katikati ya kundi la madadapoa naye akifanya kama wao.
Mbali na jamaa huyo ambaye jina lake halikupatikana, baadaye ilibainika kuwa kulikuwa na wenzake wawili ambao ilikuwa vigumu kuwatambua kufuatia kujiremba kupita hata wanawake wenyewe.
 
...Akiwa mikononi mwa polisi akipelekwa kwenye difenda.
Kuna madai kwamba kijana huyo aliyekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 20 - 24 ni mtoto wa kigogo serikalini na amekuwa akijichanganya na madadapoa hao kwa muda mrefu.
Mara baada ya kunaswa, kijana huyo aliangua kilio huku akidai kuumbuka kwani familia yake wakiiona picha yake hawatamwelewa.
“Naombeni tumalizane hapahapa kwani nyumbani hawafahamu kuwa nipo hapa muda huu. Hii ni kesi kubwa kwangu nisaidieni,” alisikika kijana huyo.
...Akiwa ndani ya difenda na wenzake walionaswa katika tukio hilo la kufanya ukahaba.
Hata hivyo, pamoja na kilio hicho, polisi hawakumwelewa, alibebwa juujuu na kuingizwa katika karandinga kisha kutupwa nyuma ya nondo za mahabusu kusubiri sheria kuchukua mkondo wake.
Wakazi wa maeneo hayo walikuwa wakilalamika mara kwa mara kutokana na kurundikana kwa makahaba mahali hapo na kusababisha uchafuzi wa mazingira kwa kutupa ovyo mipira ya kiume (kondom).
Katika msako huo, wanaume hao watatu walijumuishwa na wanawake 20 waliokamatwa wakijihusisha na biashara haramu ya kuuza miili.

HAWA NDIO WANAWAKE WABAKAJI HUKO ZIMBAMBWE...IDADI YAO INAONGEZEKA KWA KASI KILA KUKICHA

 Imeripotiwa kuwa Idadi ya wanaume wanaobakwa na wanawake huko zimbabwe imekua ikiongezeka kwa kasi kila kukicha, mwanaume mmoja anaefahamika kwa jina la Al Bayan aliwashtaki wanawake watatu kwa kosa la kumkaba kumpiga na kumbaka kwa zamu katika mji wa Bulawayo polisi wanasema hiyo ni kesi ya sita ya ubakaji wa wanaume tangu mwaka huu uanze,
mwanaume mwingine anadai kupewa lift na wanawake wawili ambao badae wlimpulizia chemiko na alposhutuka ndipo alipogundua kuwa alikua amebakwa.wanawake hao pia wlimwiba simu pamoja na pesa kiasi cha dola 20.


ALBINO(MKE WA MTU )ANASWA AKIJIUZA JIJINI DAR,SOMA ZAIDI

Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Mwanadada mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Fadhila Omary, mkazi wa Mbezi jijini Dar ametikisa midume na kuzua gumzo nchini baada ya kukamatwa mkoani Morogogo kwenye msako wa makahaba.
 
Albino akiwa mikononi mwa polisi.
KWA NINI?
Unaweza ukajiuliza kwa nini amegeuka gumzo lakini jibu ni kwamba ishu hiyo imemkuta hivi karibuni ikiwa ni miezi michache baada ya Mahakama ya Jiji la Dar ‘Sokoine Drive’ kumuonya kuwa imezichoka kesi zake za kunaswa kwenye misako mbalimbali ya makahaba.
MAMA WA WATOTO WAWILI
Fadhila ambaye ni mama wa watoto wawili, Juni 21, mwaka jana alifikishwa kwa mara ya tatu mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Jiji la Dar ‘Sokoine Drive’, Timothy Lyon baada ya kunaswa kwenye msako wa makahaba.
 
...Akielekea kituoni baada ya kunaswa katika msako wa makahaba.
HAKIMU MSHANGAO
Baada ya Lyon kumuona alishtuka na kumuuliza ‘hivi wewe Fadhila una matatizo gani? Mimi tangu nihamie mahakama hii kutoka Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, Pwani hapa sijamaliza hata mwaka lakini umeshaletwa mbele yangu mara tatu!’
Hakimu huyo alimweleza hayo Fadhila huku akionesha mshangao mkubwa.
KUMBE MKE WA MTU!
Katika utetezi wake, Fadhila alimtupia zigo la lawama mumewe, aliyezaa naye watoto wawili.
Alisema kuwa mwanaume huyo amekuwa akimpa fedha kiduchu za matumizi hali inayomfanya ajiingize kwenye biashara hiyo.
Baada ya utetezi huo, mumewe alipelekewa barua ya kuitwa mahakamani hapo ambapo alionywa juu ya kuitunza familia yake na mkewe alionywa kutopatikana tena na kesi kama hiyo kisha akapewa ushauri nasaha katika Kitengo cha Ustawi wa Jamii kilichopo mahakamani hapo.
Miongoni mwa mambo waliyoshauriwa ni kubadili mfumo wa maisha kwa  kujitafutia kipato kwa njia nyingine ya halali na kuelezwa madhara ya kuishi kwa kutegemea biashara hiyo haramu.
Baada ya kupewa somo, wote wawili waliahidi kubadilika lakini katika hali ya kushangaza ilidaiwa kuwa Fadhila baada ya kuwapa kisogo maofisa wa ustawi wa jamii, alichofanya ni kuhama mkoa na kwenda kufanyia shughuli hiyo mkoani Morogoro.
OFM KAZINI
Baada ya Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ kupata taarifa hizo ilitoa maelekezo kwenye kitengo chake cha Mtambo wa Kurekebisha Tabia (MKT).
MKT walifunga safari hadi mkoani Morogoro ‘Mji Kasoro Bahari (MKB) na kujiunga na vijana wa Kamanda Faustine Shilogile, Mkuu wa Polisi mkoani humo na kuvamia madanguro na vijiwe mbalimbali vya makahaba.
MKT na vijana wa Shilogile walipata fununu kuwa kuna kundi kubwa la makahaba eneo la Kaumba mjini humo ambapo mmoja wa mapaparazi wa MKT alitangulia eneo hilo kama mteja ndipo Fadhila na wenzake watatu wakamvaa wakitaka kumhudumia.
Wakati wakinadi biashara yao kwa MKT na kuahidi kutoa huduma kwa kadiri anavyopenda mteja (paparazi) ndipo maafande waliokuwa wamejibanza sehemu waliwavamia machangudoa hao na kuwatia nguvuni kwa ajili ya kuwafikisha mbele ya sheria.
Baadhi ya watu waliozungumza na MKT eneo hilo walisema, Fadhila amekuwa tishio kwa kuwapiga bao wenzake kutokana idadi kubwa ya wanaume wanaomgombea huku akiwa na vijana spesho wa kumlinda.
“Huyu dada, hapana chezea kabisa, sijui ana kizizi! Yaani tangu atue hapa Kaumba anawapiga bao wenzake, yaani mpaka aondoke na mteja ndiyo wenzake nyuma wapate wateja. Yaani wanamchukia sijui ana nini,” alisema mmoja wa mashuhuda hao.
Fadhila na wenzake pamoja na wanaume walionaswa wakiwahudumia walitiwa mbaroni na muda wowote watafikishwa mahakamani.

LAANA:MCHUMBA WA MTU ANASWA LIVE AKIFANYA BIASHARA YA NGONO.. ALIAGA ANAENDA KUSALIMIA KWA BIBI..TAZAMA MATUKIO KATIKA PICHA

OPARESHENI Fichua Maovu (OFM)  si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili.
Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake.
Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo OFM na polisi walikuwa kwenye oparesheni za kufichua uovu wa biashara haramu ya ngono.

OFM NOMA: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa mikononi mwa OFM na Polisi.
Kwa mujibu wa mchumba huyo katika mahojiano na OFM, aliaga kwao Kilosa kuwa anakwenda Morogoro mjini kumuuguza bibi yake ambaye ni mgonjwa.
Tofauti na matarajio ya familia yake, mrembo huyo alikwenda kukita kambi maeneo hayo akijihusisha na biashara hiyo haramu eti kwa madai ya kusaka fedha ya kununulia sare za harusi yake ambayo inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.

Mshangao: Mchumba wa mtu akishangaa baada ya kubambwa na OFM.
Jumatano iliyopita, OFM ilipokea simu kutoka kwa dada mmoja ambaye alieleza kuwa kuna ‘shori’ ambaye ni mchumba wa mtu anajiuza katika viunga vya Kaumba.
Dada huyo aliendelea kueleza kuwa yeye ni mmoja wa wajumbe katika kikao cha harusi ya dada huyo huku akiwa ameshachangia shilingi elfu 50 lakini alishangaa kumuona maeneo hayo hatarishi.

Twendeni: Mchumba wa mtu akiongoza wenzake wanaoshuka kutoka kwenye difenda kuelekea kituoni.
“Niamini mimi, tunakaa naye Mji Mpya (Morogoro). Hata fedha za advance ya ukumbi, vinywaji, MC na muziki tumeshalipa na harusi yake inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
Baada ya kunyetishiwa habari hizo, kikosi kazi cha OFM kiliingia mzigoni kwa kushirikiana na dada huyo ambaye alivalishwa ‘beji’ yao na kufanikisha kunaswa kwa mchumba huyo.


Chini ya ulinzi: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa chini ya ulinzi kituoni.
OFM ikishirikiana na polisi wanaojua kujituma kwenye majukumu yao walimtia mbaroni dada huyo akiwa katika pilikapilika zake za kunasa wanaume huku mmoja wa vijana wa OFM akijifanya mteja na kupatana naye bei ya kuingia chumbani kwa ‘shoti taimu’.
Baada ya kunaswa, mwanadada huyo alikiri mbele ya OFM kuwa ni bibi harusi mtarajiwa.
“Jamani… jamani ni kweli mimi ni mchumba wa mtu, shetani ameniponza nisameheni,” alisema.
 Hata hivyo, kilio chake kiligeuka cha samaki kwani hakikusikika, yeye na wenzake walionaswa walipelekwa moja kwa moja katika kituo kikuu cha polisi ili kupisha sheria ichukue mkondo wake

KASHFA YA KUSAGANA KATI YA IRENE UWOYA NA MARIAM ,SOMA ZAIDI

Mariam Ismail
Mastaa wa filamu nchini Mariam Ismail na Irene Uwoya wanadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi(usagaji) na kudaiwa kuishi pamoja kabisa. wiki kadhaa nyuma muigizaji mmoja chipukizi anayekuja juu kwa kasi aliutonya mtandao huu kwa kusema " Mariam Ismail na Uwoya wanasagana tena wanaishi pamoja kabisa, fuatilieni mtajua".

Baada ya habari hizo ilibidi Swahiliworldplanet kuwatafuta mastaa hao, wa kwanza kutafutwa akiwa Irene Uwoya lakini namba yake ya simu kwa takribani wiki 2 ilikuwa haipatikani na hata jana alipotumiwa ujumbe kupitia namba yake nyingine hakujibu.

Baada ya hapo ilibidi kumtafuta Mariam Ismail ambaye wamecheza filamu nyingi na Irene Uwoya kama vile Sobbing Sound, Omega Confusion, The Return Of Omega na Apple, Hata hivyo Mariam anafanya vizuri katika filamu alionekana kuwa busy na kuchelewa kujibu ujumbe wa madai ya kusagana na Uwoya lakini jana star huyo aliyejipatia umaarufu kwa kuuvaa vizuri uhusika katika filamu zake alitoa ushirikiano mzuri kwa kujibu madai hayo akidai sio kweli ila yeye na Uwoya ni marafiki wa karibu sana na wanasaidiana katika shida na raha ndiyo maana baadhi ya watu wameshaanza kusema vibaya...

"Nadhani mimi ndio mtu wa kwanza kupiga vita upumbavu kama huo... mimi ni mwanamke ambae nimeumbwa kikamilifu.. sina kasoro yoyote ya kunifanya niwe na mwanamke mwenzangu....hao wanaofanya upumbavu huo nadhani wana vijikasoro kwenye mili yao.... Irene Uwoya ni rafiki yangu sana tena urafiki wetu sio wa leo wala kesho... ni marafiki wa kushibana kabisa... nikoseapo huwa ananikosoa na yeye akoseapo huwa namkosoa....sometimes huwa tunagombana na kupatana vitu ambavyo ni vya kawaida katika maisha." alisema Mariam ambaye hajawahi kukumbwa na skendo yoyote ile kabla.
 

Irene Uwoya
Mariam ambaye kipaji chake cha filamu hujionyesha waziwazi alimalizia kwa kusema "Irene ananiheshimu sana na mimi humuheshimu sana Irene, imefikia hatua ya mimi na yeye tukakaa chini na kupanga tuishi wote kitu ambacho sioni tatizo na hilo. Ingekua ni chumba kimoja hapo sawa... lakini ni nyumba kubwa yenye kujitosheleza...kila mtu na room yake...tunaishi kwa amani na kwa kushirikiana penye tatizo hulitatua wenyewe bila kumshirikisha mtu.Ukimya wetu na kupatana kwetu kusiwafanye watu kuanza kuhisi upumbavu juu yetu... natumai ujumbe wangu utawafikia mashabiki wangu wote. Asante. In god I trust."

LAANA:MWANAMKE MIAKA 48 MBARONI KWA KUFANYA NGONO NA WATOTO WADOGO


Mwanamke  mmoja aliyefahamika kwa jina la Aretas Joseph, (48), mkazi wa kijiji cha Lesoroma tarafa ya Useri, wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amehojiwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wadogo wa kiume, wenye umri kati ya miaka 9 na miaka 14, jambo linaloelezwa kuwa ni shambulizi la aibu.

Akidhibitisha taarifa hiyo, kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro Robert Boaz, alisema mwanamke huyo alikamatwa Januari 8, kufuatia ushirikiano ulioonyeshwa na majirani zake baada ya kupata taarifa ya tabia yake hiyo ambayo inaelezwa amekuwa akiifanya kwa muda mrefu.

“Kufuatia taarifa walizokuwa nazo majirani hao, waliweka mtego hadi walipofanikiwa kumkuta chumbani kwake akiwa na watoto watatu wa kiume akifanya nao mapenzi,” alisema.

Kwa mujibu wa kamanda Boaz, zilikuwepo tetesi mtaani kuwa, mama huyo hufanya mapenzi na watoto wadogo, ndipo siku hiyo ya tukio majirani hao waliamua kuingia ndani kwake ili kujua ukweli wa tabia yake hiyo na kumkuta chumbani kwake akifanya mapenzi na watoto watatu.
Alisema mara baada ya majirani hao kumvizia na kumfuma mama huyo, walitoa taarifa polisi na mama huyo kukamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi cha Rombo.
Kulingana na taarifa ya kamanda huyo wa Polisi, watoto hao baada ya kuojiwa walisema kuwa wapo Wanne na siku hiyo mwenzao hakuwepo na kwamba mama huyo amekuwa akiwachezea sehemu zao za siri huku akiwapaka mafuta katika sehemu zao hizo.
Aidha watoto hao walidai kuwa mara baada ya kuwachezea sehemu zao za siri, huwa anawashawishi kufanya nao mapenzi kwa zamu huku wengine wakiendelea kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili wake yakiwemo matiti yake.
“Watoto hao walidai kuwa, mara baada ya mama huyo kuwachezea, humtaka mmoja wao kufanya nae mapenzi na hao wengine kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili wake na kwenye maziwa,na baada ya kutimiza haja zake, huwataka kuondoka mara moja”alisema.
Kamanda Boaz aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali wa polisi unaonyesha ya kuwa mwanamke huyo amewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja aliekuwa amemaliza darasa la saba miaka mitano iliyopita na kujaliwa kuzaa nae mtoto mmoja.
Hata hivyo kamanda huyo alisema kuwa baada ya idara ya utswi wa jamii,kupata taarifa ya mahusiano hayo, idara hiyo ililifuatilia suala hilo, na hatimae kukatisha mahusiano yao hayo.

BABY MADAHA AKIRI KUUMBUKA BAADA YA KUNASWA AKIJIUZA


Jambo limezua jambo! Ile skandali ya kunaswa baada ya kuingia mkenge kwenye mtego wa kujiuza imemtokea puani staa wa sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ambaye amekiri kuumbuka.
Habari hiyo iliruka hewani kwenye gazeti dada la hili, Ijumaa wiki iliyopita toleo namba 862 la Januari 17 hadi 23 likiwa na kichwa cha habari ‘BABY MADAHA ANASA MTEGO WA KUJIUZA.
SAFARINI
Ilielezwa kuwa wakati skendo hiyo ikiingia mitaani, mwanadada huyo alikuwa safarini kuelekea Nairobi, Kenya ambako ndiko yaliko Makao Makuu ya Kampuni ya Candy n Candy iliyompa mkataba mnono wa takribani Sh. milioni 200 ili wasambaze na kuuza kazi za Baby Madaha.
MAPOKEZI
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini nchini humo, imezoeleka kuwa kila Baby Madaha anapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi kwa ajili ya kazi za kampuni hupokelewa na timu maalum kisha kuchukuliwa na lile gari la bei mbaya aina ya Audi TT.
Ilielezwa kuwa baada ya habari ya kunaswa kwake kusambaa, alipotua uwanjani hapo hakukuwa na mtu aliyekwenda kumpokea kwa kile kilichoelezwa kuwa viongozi wa kampuni hiyo walichukizwa na jambo hilo.
“Unajua tatizo ni simu ambazo viongozi wa Candy n Candy wanapigiwa na vyombo vya habari kutaka kujua undani wa skendo hiyo,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

MITANDAO
“Pia mitandao nayo imechangia kuwashtua viongozi hao maana kila ‘blogi’ imekopi kutoka kwenye mtandao baba lao wa www.globalpublishers.info na kupesti kwao.”

NYUMBANI
Baada ya kugundua kuwa alitelekezwa uwanjani, Baby Madaha alifanya mpango wa kwenda kwenye nyumba ya kampuni hiyo ambayo huwa anaishi lakini huko nako alikutana na ‘mbwa mkali’. Aliambiwa uongozi umekataza yeye kutia maguu ndani ya nyumba hiyo.
Kiliendelea kutiririka kuwa wakati huo, tayari Mkurugenzi wa Candy n Candy, Joe Kairuki alishawasiliana na Baby Madaha ambaye alimwambia kuwa skendo hiyo haikuwa ya kweli bali ‘promo’ ya filamu yake mpya ya The Gal Bladder.

OFISINI
“Hata angejitetea vipi, wale jamaa walikuwa hawamwelewi kwani alikwenda hadi ofisini kwao lakini hawakutaka kumsikiliza hadi hapo baadaye.
“Wanacholalamikia ni kwamba Baby Madaha amechafua sura ya kampuni na wanaonekana wanafanya kazi na msanii anayejihusisha na ufuska,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

GARI
“Hata hilo gari la Audi TT atakuwa analisikia kwenye bomba. Alizoea kukatiza nalo mitaa hapa Nairobi lakini sasa matatuu (daladala) zinamhusu.”

MSIKIE
Baada ya kujazwa data hizo, gazeti hili lilimtafuta Baby Madaha ambaye mwanzoni alikataa kutoa ushirikiano kwa kigezo kwamba ameharibiwa maisha.
Risasi: Baby lakini ni vizuri ukawa muwazi kuliko kuwa mkali. Je, ni kweli Candy n Candy wamevunja mkataba na wewe?
Baby: (kilio) Nasema niacheni kwanza mimi siyo msemaji wa Candy n Candy, mtafuteni mkurugenzi.
Alipomaliza kusema kwa hasira, Baby alikata simu.

MKURUGENZI
Hata hivyo, alipotafutwa mkurugenzi huyo, Joe alikuwa na haya ya kusema:
“Yaa tumeingia kwenye matatizo kwa sababu ya hiyo habari.”
Risasi: Matatizo gani?
Joe: Tumepigiwa sana simu na vyombo vya habari kuthibitisha hiyo skendo. Tunaonekana tunafanya kazi na mtu ambaye siyo. Anatuharibia image (sura) ya kampuni.
Risasi: Kwa yeye (Baby Madaha) amewaambiaje?
Joe: Anasema ni mambo yake ya filamu, kimsingi hatujamuelewa ndiyo maana hatujampa muda wa kumsikiliza kiundani.
Risasi: Kwa hiyo mtavunja mkataba wake na ninyi?
Joe: Ndiyo lengo letu lakini siyo jambo la haraka kwani kuna masuala ya kisheria.
Risasi: Vipi kuhusu gari na nyumba mlivyomkabidhi?
Joe: Kwa sasa kila kitu kipo chini ya kampuni.
Risasi: Nini hatima yake (Baby Madaha) sasa?
Joe: Yeye ndiye mumuulize nini hatima yake.

BABY MADAHA TENA
Baada ya mazungumzo hayo, gazeti hili lilimrudia Baby Madaha ambapo safari hii alikuwa mpole: “(kilio cha kwikwi) jamani nimeumbuka. Yaani huku wameichukulia kuwa ishu kubwa sana.”
Risasi: Sasa nini hatima yako?
Baby Madaha: Mi nipo Nairobi najaribu kuweka mambo sawa. Namwamini Mungu, najua atanijalia haja ya moyo wangu.

AMEFIKAJE HAPA?
Baby Madaha aliingia mkataba na kampuni hiyo mwaka jana ambapo mpaka sasa amesharekodi nyimbo mbili za Squeeze na Summer Holiday huku akirekodi filamu moja ya The Gal Bladder iliyozinduliwa hivi karibuni, jijini Dar.
-IJUMAA VIA GPL

LAANA SANA...!! WABONGO WANASWA WAKIFANYA UFUSKA HUKO NCHINI CHINA

Huko Hong Kong, China Paparazi wetu amewanasa wanawake wa Kibongo wanaokwenda nchini humo kwa kigezo cha biashara kumbe wanakwenda kuuza miili na kufanya ufuska.
 

Baadhi ya mastaa wa Bongo wakikata mauno nchini China.

OFM ilipata taarifa kutoka kwa chanzo chake ndipo ikatuma kachero wake nchini humo na kujionea vitu vinavyochafua taswira ya Tanzania nje ya nchi hasa China kama wanadada hao wanavyofanya uchafu tena wengi wao Bongo ni mastaa.
 

Wabongo wakijiachia nchini China.

“Kiukweli ni aibu! Wanawake wa Kibongo wanachezewa makalio hovyo, wanafanya vitendo vya ngono hadharani kwa ujira wa dolari za Kimarekani mia tu.

“Kuna msanii wa Bongo muvi aliyefulia ambaye ni mke wa mtu (mcheza soka wa kimataifa) hadi sasa yupo China, nimemuona kwa macho yangu klabu akichezewa makalio kwa dola mia moja,” alisema OFM wetu.
 
Wabongo wakiwa viwanja vya kujiuza nchini China.

Uchunguzi wa OFM ulibaini kwamba kuna makundi ya wanawake wa Kibongo wanaokwenda China wakijifanya wafanyabiashara lakini wengi wao hubebeshwa madawa ya kulevya ‘punda’ kisha huwa hawataki kurudi Bongo huku kukiwa na wengine wanaokwenda maalum kwa kujiuza.



paparazi wetu aliwasiliana na staa wa Kibongo aishie nchini humo, Rehema Fabian ambaye ni Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009 ambaye alikiri kuwepo kwa mastaa na wabongo wengi wanaojiuza nchini humo.

Alipotafutwa Balozi wa Tanzania nchini humo, Abraham Shimo ili kupata undani wa ishu hiyo, simu yake ya ofisini ilikuwa ikiita bila kupokelewa hivyo juhudi za kumpata zinaendelea.

-credit: OFM via GPL 

LAANA:ANGALIA VIDEO BIASHARAYA "NGONO" INAVYOFANYIKA NYAKATI ZA USIKU...!IWANAHARAKATI WATAKA IRUHUSIWE IONGEZE UCHUMI

Hii ni makala inayoonyesha jinsi biashara ya ngono
(uchangudoa) unavyofanyika haswa nyakati za usiku.Makala hii inakutanisha wafanyabiashara hiyo almaharufu kama "MACHANGUDOA" wakieleza jinsi wanavyofanya biashara hiyo 
 na changamoto wanazozipata.


Usisite kuangalia ili uweze kujifunza.ANGALIA VIDEO HAPA


Angalia kisa cha mama kumfundisha mwanae biashara ya ukahaba..

MITANDAO YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WANAOJIUZA MTANDAONI YAGUNDULIKA HAPA BONGO..!! SOMA SOMA ZAIDI

PENGINE haya tunaweza kuyaweka kwenye kundi la madhara yatokanayo na utandawazi. Mitandao ya kijamii ipo inayowasaidia wanafunzi katika masomo yao na kazi, lakini wengine wanatumia mitandao hiyo visivyo. Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa matumizi mabaya ya teknolojia hasa mitandao ya kijamii yamechochea ongezeko la uhalifu, ubakaji, matumizi ya dawa za kulevya na zaidi biashara ya ukahaba vyuoni. 
Mitandao ya ‘Facebook’, ‘Twitter’, ‘BBM’, ‘Instagram’ inafahamika kwa namna inavyoweza kuwaunganisha watu kutokana na urahisi wake katika kuitumia.
Mwananchi Jumapili limebaini kuwa katika mitandao hiyo makundi mbalimbali yameanzishwa yakiwa na malengo tofauti.
Baadhi wameanzisha makundi kwa lengo la kujenga mitandao ya kibishara, kidini, michezo, burudani, vichekesho na mengine ambayo mara nyingi huwa wazi na yeyote anaweza kujiunga na kuona kinachoendelea ndani.
Mbali na hayo ndani ya mtandao wa ‘Facebook na ‘BBM’ yapo makundi yanayoendesha biashara ya ukahaba, yakiwahusisha wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali nchini.
Uchunguzi umebaini kuwa wanafunzi hao wanaofanya biashara ya ukahaba kwa kutumia mitandao wameweka picha na namba kwa ajili ya mawasiliano kwa mteja atakayekubaliana na bei waliyoweka.
Baadhi ya wanafunzi hao wanatumia mtandao wa ‘University Tanzania Jokes’, ‘Jicho la Mvulana Liko Fasta Kuliko Google’, ‘Benki ya Utamu Tanzania’ na nyingine katika kufanikisha biashara hiyo ya ngono.
Ukiingia katika mitandao ya Facebook, Twitter, BBM, Instagram, utabaini kuwapo kwa makundi yaliyoundwa kutengeneza mitandao ya ngono, ambayo huweka pia namba za simu za wahusika, zikiambatana na picha, ambao ikiwa utaangalia picha na kuvutiwa, unaweza ukapiga simu husika kuzungumza naye kwa kufanya mapatano kabla ya kukubaliana.
Uchunguzi wetu umebaini kuwa mwanamume anaweza kumpata msichana kutoka chuo kikuu chochote nchini anayefanya biashara ya ukahaba kupitia mitandao hiyo.
Baadhi ya vyuo wanavyotoka wasichana wanaofanya biashara hiyo na kujitangaza kwenye mitandao ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na Chuo cha Usimamizi wa Fedha

-Mwananchi


MJAMZITO NAE ANASWA AKIJIUZA,NOMA SANA,TAZAMA MAPICA YAKE FULL AIBU YANI

OPARESHENI ya Polisi wa Mkoa wa Morogoro na kikosi maalum cha kufichua Maovu cha Magazeti ya Global Publishers (OFM), imemnasa mwanamke mjamzito katika kamatakamata ya machangudoa
 
Polisi akimkagua changudoa mwenye mimba aliyenaswa akijiuza.

Katika oparesheni hiyo ya aina yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la Msamvu (Kambi ya Itigi), wanawake 30 waliodaiwa kujihusisha na biashara hiyo walikamatwa.

Waandishi wetu wakiwa na askari wa mkoa huo walimnasa mjamzito huyo anayedaiwa kuwa na mimba ya miezi sita akiwa mawindoni eneo hilo.

 
Changudoa huyo mwenye mimba akiwa chini ya ulinzi.

Mara baada ya mjazito huyo kukamatwa alitoa yake ya moyoni kwa kusema kwamba anafanya biashara hiyo ili kupata fedha za kujikimu na ujauzito wake haumpi shida yoyote.

“Jamani natafuta pesa za kujikimu na maisha hapa mjini sasa mnatukamata tukale wapi? Hii mimba ni yangu na ninayefanya ukahaba ni mimi niacheni,” alisema mdada huyo.

Pamoja na maneno yake, polisi walimbeba msobemsobe na kumfikisha kituoni pamoja na makahaba wengine.
-GPL

AIBU:MSANII BABY MADAHA...ANASWA LIVE AKIJIUZA DAR,BOFYA HAPA KUTAZAMA MAPICHA YA TUKIO ZIMA


AMA kweli maovu yanazidi kuongezeka, shetani naye mbioni siku zote kunasa waliyo wake, kauli hizo zote ziko sambamba na staa wa sinema za Kibongo na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Baby Joseph Madaha amenaswa baada kuingia mkenge mtego wa kujiuza, Ijumaa limesheheni.


Kumekuwa na skendo kuwa baadhi ya mastaa wa kike Bongo hujihusisha na biashara ya kujiuza ili kujipatia kipato na kufanya sanaa kuwa kama chambo cha kunasa wanaume.

OFM MZIGONI
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, mwaka jana ilinasa mastaa wawili kwenye mtego wake, mke wa mtu, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ na Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’.
Mwaka huu, OFM imeanza kazi zake ambapo kwa kuanzia iliamua kumtega Baby Madaha aliyejaa kwenye kumi na nane zake.

Mmoja wa wadau wa OFM alijifanya mfanyabiashara kutoka Mwanza ambaye ni mgeni wa jiji a.k.a Ngosha akijipachika jina la Frank ambapo baadaye katika mazungumzo, Baby Madaha alimbana na kutaka ampatie majina matatu ndipo mwana-OFM Frank (feki) akajipatia jina Frank Michael Lugwisha.

 
ILIKUWAJE?
Mchezo mzima ulianza Januari 13, mwaka majira ya saa 11:52 jioni kwa kuchati kwenye simu ya kiganjani ambapo Baby Madaha aliingia kichwakichwa bila kujua anachati na ‘sumu’ wa OFM kama ifuatavyo;
Frank/OFM: Mambo vipi Baby Madaha? Nilikuwa naomba tuonane.
Baby Madaha: Kuhusu nini?

Frank/OFM: Niwe mkweli, Madaha nimekupenda, nilipofika hapa Dar ndo nikaona nikutafute.
Baby Madaha: Unampendaje mtu usiyemjua?
Frank/OFM: Jamani nakuonaga magazetini na video zako.
Baby Madaha: Safi, so unataka kuniambia nini ambacho sijakisikia?
 Frank/OFM:  Nataka tu-meet (kukutana) Madaha nimetokea kukupenda sana lakini Alhamisi (jana) narudi mkoani Mwanza.

Baby Madaha: Huwezi ku-manage kuwa na mimi, baki kuwa shabiki wangu tu.
Frank/OFM: N’take radhi Madaha, kwa nini nisiweze, kikubwa kipi?
Baby Madaha: Huh! Tuma vocha tuone how worth are you? (Tuma vocha tuone utajiri wako)
Frank/OFM: Acha utani bwana, vocha kitu gani, ongea mambo makubwa Madaha
Baby Madaha: Hahaha…yote ninayo-except vocha tajiri.

Frank/OFM: Acha bwana. Vocha ndo kikwazo kwako?
Baby Madaha: Yap! Kama hutaki acha au unadhani natumia wireless kuchati na wewe?
Frank/OFM: Madaha wewe ni mkatili kiasi hicho?

MAMBO YASIMAMA KWA MUDA
Masuala ya kuchati yalisimama kwa muda lakini ilipofika saa 2:22 usiku, mazungumzo yaliendelea ambapo siku iliyofuata Frank wa OFM aliamua kuendelea kumtengenezea mtego ili kujiridhisha kama ni kweli baadhi ya mastaa wa Bongo wanafanya biashara hiyo haramu.
Januari 14, mwaka huu, majira ya saa 5:00 asubuhi, Frank wa OFM alianza tena kuchati na Baby Madaha kama ifuatavyo;


Frank/OFM: Mambo Madaha? Mi Frank
(akaamua kumpigia simu Frank wa OFM, ilikuwa mshtuko kwa Frank kwa sababu hakujipanga kuongea naye kwa hiyo hakupokea simu ya Baby Madaha ambayo ilipigwa saa 6: 30 mchana.
Dakika moja baadaye, Baby Madaha alituma meseji ya kumtoa hofu Frank wa OFM;
Baby Madaha: Frank ‘am calling you in vain uh afraiding of me (Frank nakupigia kwa nia njema unaniogopa?)

Frank/OFM: Sorry nilikuwa tight, naweza kupiga?
Baby Madaha: Yap!
Frank/OFM: Frank wa OFM aliongea na Baby Madaha na kuanza kumchomekea ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha na kuonesha nia ya kujenga uhusiano huku akimtaka staa huyo kuwa ‘siriaz’ akimuahidi kuwa atakuwa naye na kuwa ajenti wake wa muvi jijini Mwanza.
Baada ya maongezi ya kutongozana kwenye simu, Frank wa OFM alimtumia tena meseji Baby Madaha kama ifuatavyo;


Frank/OFM: Nimefurahi sana kuongea nawe, sijui itakuwaje tukionana?
Baby Madaha: Wait, you I’ll see.
Frank/OFM: Eti ee, nimetokea kukupenda sana.
Baby Madaha: Thanks.

Baada ya hapo Frank wa OFM alimaliza kumtumia ‘sms’ siku hiyo, ilikuwa saa 9:12 alasiri.
Hata hivyo, Frank wa OFM aliamua kumhoji zaidi kupitia sms akitaka kujua hasa akiwa naye hata kwa saa tatu atataka shilingi ngapi?
Frank/OFM: Sasa hivi nataka kutoka niende ATM kuchukua pesa, sasa hebu kuwa muwazi tu wangu, kuwa na wewe kwa kama saa tatu utakuwa poa nikupe Sh. ngapi? Mtu mzima nisije nikaumbuka si unajua tena kwa staa kama wewe?

Baby Madaha: Milioni 10!
Frank/OFM: Baby usinikomoe, mimi na wewe tuna safari ndefu, kila nikija Dar tutakuwa pamoja.
Baby Madaha: (...anapiga simu lakini Frank wa OFM hapokei).
Baada ya kuona hivyo, Baby Madaha alituma sms hii “Call” (piga).


MAONGEZI YA SIMU
Frank/OFM: Mambo vipi Baby, habari za muda tena?
Baby Madaha: Salama tu, kwani wewe ulikuwa unataka kutoa sh. ngapi ATM?
Frank/OFM: Mimi ndiyo nilikuwa njiani naelekea ATM natoka hapa hotelini nilipofikia nina Shilingi Mil.4 kwa usiku mmoja, hapo vipi?
Baby Madaha: Katoe 5 fresh, sasa benki gani utaenda kutoa wakati benki zote zimeshafungwa na ATM mwisho kutoa ni Mil.1, sasa hapo itakuwaje?

Frank/OFM: Nitatoa kwa ATM, hata hivyo, nina master-card, naweza kutoa Mil.1 hadi mara 5, usijali kwani pesa kitu gani, cha msingi mimi ni kuwa na wewe!
Baby Madaha: Okay, fine unaweza kuja Kijitonyama (Dar) hapa kwenye hoteli ya (anaitaja jina)?
Frank/OFM: Nimefikia hapa hotelini (jina kapuni), sasa kutoka ni vigumu.
Baby Madaha: Okay, poa nitakuja hapo hotelini saa 1:00 usiku.

Frank/OFM: Usijali karibu sana, nakupenda sana Baby Madaha yaani niko tayari kwa lolote, sema unataka nikupe nini?
Baby Madaha: Hahaha....(anachekaaa) nikija nitakwambia vyote ninavyotaka kwani unafanya biashara gani?

Frank/OFM: Nauza nguo, mara nyingi nafuata Jakarta, Indonesia mara kwa mara lakini natumia muda mwingi kufanya kazi zangu Mwanza.

Baby Madaha: Wee Msukuma eti? Mimi mwenyewe Msukuma kwani unadhani jina Madaha ni la nini hilo, mimi mwenyewe Msukuma.
Frank/OFM: Nimefurahi sana kusikia hivyo, unaweza kuongea Kisukuma?
Baby Madaha: Naweza, wewe nisemeshe tu!
Frank/OFM: Nakutogilwe gete Madaha (Frank anaongea Kisukuma kwamba anampenda sana Madaha)
Baby Madaha: Tukuhoya ntondo nduhu tabu (anajibu kwa Kisukuma kuwa hakuna tatizo tutaongea kesho).

Ulipofika muda waliokubaliana na Frank wa OFM, Madaha alisema kuna foleni kubwa hivyo kuna sababu ya kubadilisha hoteli hiyo iliyoko maeneo ya Ubungo alipopanga Frank wa OFM waonane, Baby Madaha akataka wakutane nyingine iliyoko Kijitonyama.
“Siwezi kuja huko, kwanza kuna mifoleni isitoshe ni vizuri ukafika mwenyewe maeneo haya ya hoteli ya… (anataja), ni sehemu nzuri kwangu hivyo kama huna nia mbaya na mimi ni vizuri ukaja maana kesho nasafiri kwenda Kenya kwenye shughuli zangu za muvi, kwa hiyo unaweza kuja wewe tu maeneo haya,” alisema Madaha.

Frank aliendelea kumbana kwamba tayari alikuwa ameshaandaa pesa shilingi Mil.5, kama walivyokubaliana lakini asingeweza kubeba mfuko wa fedha wote huo isitoshe ni hoteli ambayo ameizoea kwa muda mrefu.
“Ujue Dar mimi siyo mzoefu, achilia mbali kuogopa kutapeliwa hivyo nakuomba uje kwenye hii hoteli nitafurahi sana dear, nakuomba unielewe ujue nakupenda sana mpenzi wangu Baby Madaha, tulia tuyajenge maisha,” alisema Frank wa OFM.

Msanii huyo alimkomalia Frank wa OFM wakutane siku ya Jumanne usiku ambapo alimwambia pia kuwa amepata dharura anakwenda kumuona mfanyabiashara mwenzake kwenye hoteli moja iliyopo Masaki (jina tunalo) ambapo Baby Madaha alitaka waonane na Frank wa OFM kwenye hoteli hiyohiyo.
“Nimepata dharura sitaweza kuonana na wewe, naenda kumuona mfanyabiashara mwenzangu maeneo ya hoteli…(jina tunalo), tuonane kesho muda wa asubuhi,” alisema Frank.

Baadaye Frank alimjulisha mteja wake kuwa yuko njiani anafuata mzigo bandarini akitoka wataonana na Baby Madaha kesho yake asubuhi ya Jumatano iliyopita, alituma sms hii;
Baby Madaha: Kuna stage tano in anything, nakupa tatu, coz uko siku ya tatu, denying, bargaining, accepting..... tomorrow if you be still on game, i give you the remained good day, enjoy Mr Frank, ukitoka cargo call me, we meet!
Frank/OFM: Okay, siku njema nitakutafuta.

Baby Madaha: Matajiri wengine hawana maneno kama wewe kwa mfano…(anataja jina la pedeshee mmoja maarufu Dar). Wanatuma pesa na siyo maneno, wee tuma hela (-)-pesa ipo kila sehemu we tuma ndo nitaweza kujiongeza kama nakuja au laa.
Frank/OFM: Nakutumia muda siyo mrefu, usijali.

IJUMAA LAMBANA BABY MADAHA
Hata hivyo, Baby Madaha hakutumiwa pesa alizotaka ili kukamilisha zoezi badala yake, OFM walitua mzigo wa ushahidi kwenye dawati la Ijumaa ambalo lilikuwa na jukumu la kutafuta mzani wa ishu hiyo.
Ijumaa lilipomtafuta Baby Madaha alikiri kuwa kwenye mawasiliano na mwanaume aliyemtaja kwa jina la Frank Michael Lugisha ambaye alisema alikuwa akifanya naye makubaliano ya kusambaza filamu yake ya The Gal Bladder.
Alipobanwa juu ya makubaliano ya kujiuza kwa mwanaume huyo kwa Sh. milioni 5 alikataa pamoja na kwamba alielezwa kuwa kuna ushahidi wa meseji na sauti.
Alipotakiwa kufika kwenye ofisi za gazeti hili ili kusikilizishwa sauti na kuoneshwa meseji zake, Baby Madaha alisema hawezi kwa kuwa alikuwa na safari ya kwenda nchini Kenya muda mfupi baadaye


-GPL

"NIMEAMBUKIZA UKIMWI MAELFU YA WATU JIJINI DAR"...JANE WA MWENGE


Mimi ni Jane naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na kuniangamiza maana nimeshawaangamiza wengi sana kwa UKIMWI ila mengine yote usifute hata moja ili dunia ijue tu japokua mimi nitakufa kwa huu ukimwi nilionao.

Nilizaliwa mkoa wa Dodoma na nilishi vizuri tu tangu utotoni na hata sikujihusisha na ngono hadi nilipomaliza form 4 mwaka 2006 baada ya kumaliza nilikuja hapa Dar kuishi kwa mama mdogo aliyeolewa hapa Mwenge.

Nilipata marafiki wengi tu na kuna kijana mmoja alinitongoza kwa muda mrefu sana na siunajua vijana wengi hutumia muda mrefu kutongoza ili msichana unadhani kwamba labda huyo anakupenda kumbe anataka tu ngono na wadada wengi sana hudhani kufuatiliwa kwa muda mrefu na mvulana basi huyo yuko serious kumbe hakuna lolote.

Nilimkubalia tukawa wapenzi ila nilikataa kuhusu kufanya mapenzi maana anayekupenda kiukweli sio uongo lazima asitake ngono kabla ya ndoa.

Kwa miezi kama 5 hadi 6 aliniambia kuhusu kufanya mapenzi nilikataa alitumia mbinu nyingi sana kwa kunibembeleza na hata kulia mbele yangu ili tufanye tu mara moja ila nilikataa, alisema atavumilia hadi siku ya ndoa yetu ambapo tulipanga kuoana mwaka sept 2009.

Siku moja aliniambia twende kwenye kumbi za starehe na mimi kwa sababu ya upagani na kumwamini pia kwa sababu nampenda nilikubali tulienda huko na kulikua na bendi fulani maarufu ya mziki wa dansi ilikua inatumbuiza.

Tulitafuta sehemu na kukaa na mpenzi wangu akaagiza pombe alianza kunywa huku akinionjesha, nilikataa kwa sababu nilikua sijawahi kunywa pombe katika maisha yangu yote, hata sijui alinishawishi vipi nilijikuta nakunywa kidogo kidogo na kwa kuwa tulikaa pale kwa muda zaidi ya masaa 5 nadhani nikunywa kama bia 3 au 4 japokua nilikua nakunywa kidogo kidogo tu tena kwa kunywesha na mpenzi wangu maana nikama nikua nanyweshwa kila baada kama ya dakika 25 ndipo nakunywa mara moja na sikujuia kama nakunywa pombe ila niliihisi tu naonja ili kumlizisha mpenzi wangu.

Ilipofika saa 10 alfajiri nilihisi usingizi na pia nilijiona wa tofauti najua nililewa hata kama sikujua kama nimelewa maana nakumbuka tulitoka pale huku amenishika mkono huyo mpenzi wangu. Tulikodo tax na kuondoka na siku hiyo aliniambia twende kwake alikokua amepanga chumba maana tulikua na usingizi sana nilikubali huku nikidhani hatuwezi kufanya mapenzi.

Tulifika salama na kuingia ndani ukweli pombe ni kichocheo cha ngono na ningekua mimi ndio Raisi wa Tanzania ningefunga bar zote. Nilijikuta natamani kufanya mapenzi na huyu mpenzi wangu hata alikua hana nia maana alijua atanichukiza sana na uhusiano ungekufa siku hiyo lakini kwa sababu ya pombe nilimwambia siku hiyo tufanye kidogo maana mwili wangu unataka.

Ni kweli siku hiyo kwa sababu ya pombe nilifanya mapenzi na huyo mpenzi wangu na baadae akanipeleka nyumbani baada ya wiki mbili maana tulikaa wiki mbili bila kuonana alikuja na kunieleza habari ambayo sikuihitaji katika maisha yangu maana nilikua nasikia tu kwa watu wengine lakini sio kwangu alisema ”JANE ISHI KWA MATUMAINI KUANZIA SASA”

Nilidhani utani lakini aliniambia kuwa yeye ana UKIMWI tangu miaka mitano iliyopita na anapenda tu ngono maana hawezi kuacha.

Nililia sana na baada ya wiki moja baadae nikaenda kupima na kukutwa nina ugojwa ambao niliusikia tu kwa watu na chanzo cha yote ni pombe, kupenda starehe,disko na upagani unaotusumbua wanadamu wengi.

Nilikua na UKIMWI na kwa hasira maana mpenzi wangu alihamia Arusha huku akisema neno moja la mwisho kwamba ”shetani amemtuma kuwaambukiza wanadamu UKIMWI”

Sikujua, sikujua, sikujua, sikujuaaaaaaaaa, basi tu ooh YESU nihurumie mimi leo.Nilibebeshwa mzigo ambao haukunistahili mimi. Hata leo hua najiuliza kwamba nilijitunza kwa miaka 23 yote lakini pombe na huyu wakala wa shetani wamenifanyia hivi. Baada ya kujua nina UKIMWI na hali hiyo nikaikubali na kulikua na kundi kubwa sana la wanaume ambao walikua wamewahi kunitongoja na niliwakataa sana kwa sababu hii niliwakubali ili nami nife na wengi.

Nilianza kumkubali kila mmoja na kuna baba mmoja ambaye ana wake 3 niliwahi kumtukana sana kipindi cha nyuma kila aliponitongoza lakini wakati huu nilimkubali na hakuamini na tukafanya ngono tena bila kinga na akaniaachia pesa laki 6 kama zawadi ya kumkubali kumbe naye hakujua kuwa namwambukiza na hata leo hua nawahurumia tu wale wake zake ambao wana UKIMWI uliotoka kwangu.

Kiukweli tangu may 2009 hadi 2012 nimeshatembea na wanaume zaidi 1500 maana ilifika kipindi nala na wanaume 3 kwa siku na lengo langu niwakomeshe kama mimi nilivyokomeshwa na nina uhakika kutokana na mimi wameambukizwa UKIMWI wanadamu zaidi ya 10,000 na hili tangazo la ”TUKO WANGAPI” huwa linaniliza kila siku maana hata mimi najua kabisa nilianzisha mtandao kama huo wa ngono kwa idadi kubwa sana ya watu.

Nimeokoka miezi 7 iliyopita na siku naombewa nilikutwa na mapepo mengi sana na hata waombeaji wakashangaa. Ningejua ningeokoka tangu nikiwa na miaka 5 lakini ndio hivyo sina jinsi wala uwezo wa kubadirisha hali hiyo.

Na naomba kila atakayesoma ujumbe huu ajue kuanzia leo kuwa pombe ni dhambi pia kwenda disko ni dhambi,kuuza pombe ni dhambi na kila kichochoe chochote cha dhambi ni dhambi. Hadi sasa mtu yeyote hawezi kujua kama nina UKIMWI na sijui MUNGU ana mpango gani na mimi maana kwake yote yanawezekana. Nauamini uponyaji wake na sijawahi kutumia ARV hata siku moja na afya yangu iko sawa tu na huwezi hata wewe kujua kama uovu huu nimefanya mimi.

Ndugu zangu kama una UKIMWI nenda kanisani ukaombewe na kama una akili mpe YESU maisha yako maana pia baada ya kifo ni hukumu. Yasalimishe maisha yako kwa YESU na usiambukize wengine tena.

Mimi tangu niokoke sijawahi kufanya mapenzi tena na sitafanya hivyo wala sitaolewa na mtu yeyote maana yatosha kwa uovu niliofanya na hadi sasa wapo ninaowajua zaidi ya 15 wameshafariki na nilihudhulia misibani huku nikijua kabisa chanzo ni mimi.

Mwisho nawashauli wababa kulidhika na wake zao na wamama pia lidhikeni na waume zenu, vijana ambao hamjaoa wala kuolewa subiri hadi utakapooa au kuolewa na kabla ya kuolewa au kuoa kapimeni kwanza kwani wenye UKIMWI ni wengi kuliko unavyozani.

Fuata unachofundishwa kanisani na pia soma BIBLIA na uwe mtakatifu.

MUNGU akubariki

Ni mimi Jane,
Mwenge, Dar es salaam
Tanzania


KUMBE MADENTI WENGINE ‘WANAJILENGESHA’ KWA MATICHA


KWA takribani wiki tatu sasa tumekuwa tukijadili kuhusu tabia ya baadhi ya walimu kujihusisha kimapenzi na wanafunzi, hasa wa kiume. Nashukuru kwamba nimepata mrejesho mzuri kutoka kwenu.
Lakini kuna mwalimu mmoja msomaji mzuri wa safu hii, yeye ni msichana anayefanya kazi mikoani. Alinitumia ujumbe mmoja ambao ulinivutia sana, nikabadilishana naye maneno mawili matatu na kujikuta nimepata kitu ambacho ni lazima tushirikiane pia kujadili.
Kwanza alinipongeza kwa makala ile, lakini baadaye akaniambia kuwa mara nyingi wanafunzi wa kike ndiyo wanaoanza kujitongozesha kwa walimu ambao wanachokifanya wao ni kama kumalizia tu.
Aliniambia kwamba wanafunzi wa kike wakiwa mbele ya walimu wa kiume hujishaua, wakati mwingine hata kupandisha juu sketi zao, kurembua macho na viuchokozi vingine ili mradi tu walimu wausome mchezo.
“Sasa anko kwa hawa walimu wenyewe vijana unategemea nini? Lakini ngoja tuwaite sisi walimu wa kike, wanakuja wamebetua midomo, wanaonyesha ishara ya dharau na vitu kama hivyo, mimi kwa kweli siwalaumu walimu, mara nyingi wanalazimishwa,” alisema mwalimu huyo.
Katika kukolezea na kuniaminisha anachokisema, alinipa mchapo mmoja unaomhusu yeye mwenyewe kiasi cha kuniacha hoi kabisa.

Aliniambia kuwa hapo awali, aliishi kinyumba na mwalimu mwenzake na walijaaliwa kupata mtoto mmoja. Kumbe jamaa kimya kimya akawa anajipigia kabinti kamoja ka darasa la sita hapo shule waliyokuwa wakifundisha. Dada akashtukia, ikawa bonge la msala. Huku na huku soo likafika kwa wazazi wa mtoto ambao nao hawakukubali, ikibidi sheria ichukue mkondo wake!
Polisi wakaipeleka mahakamani, kesi ikaanza kunguruma. Katikati ya shughuli, mtoto wa kike akatoa mpya. Akasimama mbele ya hakimu na wazazi wake, akawaambia kuwa yeye anampenda mwalimu, akawataka waachane na ile kesi na kama wataendelea nayo, atajiua!

Mchezo ukaishia hapo na dada yangu akaamua kumwachia mwanafunzi wake aendelee na mzigo, yeye akashusha manyanga!
Huo ni mfano ulio hai, lakini wanafunzi huko mashuleni wanaelewa zaidi. Ninakumbuka katika moja ya matoleo yaliyopita nilizungumzia kuhusu hili.

Wasichana wa aina hii mashuleni wako wa aina nyingi, lakini sana utakuta ni wale ambao hawana kitu kichwani au ambako kiasili ni wahuni. Mungu bwana wa ajabu sana, hawezi kuwanyima vyote wanadamu. Wasichana wasio na akili darasani hujaaliwa uzuri wa sura na umbo.
Nao hutumia uzuri wao kujiegemeza kwa walimu kwa mategemeo ya kusaidiwa mambo wanayoamini hawayawezi. Si rahisi kukuta mwanafunzi mwenye akili zake darasani na anayejua kitu alichokifuata shule, akambania pua mwalimu wake kwa lengo la kumteka kimapenzi.
Na kuna hawa wanafunzi vicheche wa asili, mtaani ana mabwana, shuleni anao, kwa ndugu zake anao ili mradi tu kila anapokwenda lazima apate mtu. Hawa ndiyo wanaoingia katika lile kundi la kujitongozesha, ingawa hata hivyo, wakati mwingine, mwanafunzi anaweza kumpenda mwalimu kama binadamu ye yote anavyoweza kufanya.
Labda niwaase maanko zangu kwamba pamoja na kuwa uhusiano wa kimapenzi haupendezi wakati ukiwa bado shule, hasa hizi za msingi na sekondari, ni vibaya zaidi kushiriki tendo hilo ovu na mwalimu wako.

Ni lazima tukubali kwamba kwa kufanya hivyo, moja kwa moja ni kwamba hakutakuwa na heshima baina yenu na hapa ndipo mkazo wa masomo kwa mwanafunzi unapowekwa kando. Mwalimu badala ya kumsisitiza mwanafunzi wake kujisomea, atataka muda ambao alistahili kuwa akijisomea, autumie kwa mambo yao ya mapenzi.
Nirudie tena wito wangu ambao nimekuwa nikiutoa kila mara. Tutumie vizuri muda wetu wa shule, tukiuchezea, tutakuja kushtuka muda umeenda. Haya mambo yote mnayotaka kuyafanya sasa, yapo, mtayakuta na kuyaacha.

-GPL

MTOTO ANASWA AKIFANYA UKAHABA,ANGALIA PICHA ZA FUMANIZI NDANI YA GESTI BUBU

 
Anitha baada ya kunasa katika mtego wa OFM.
OFM Kanda ya Ziwa, kikiwa ni kitengo kipya kilichoteuliwa rasmi kushughulikia kadhia za mikoa yote inayozunguka Ziwa Victoria kilinasa tukio hili laivu na kulifuatilia kwa kina ili kutoa ukweli kamili kwa jamii.
HABARI KAMILI
Timu yetu ilishuhudia binti huyo akiwa amechanganyikana na mabinti wengine wakubwa wakijiuza kwa wateja wa baa mbalimbali katika eneo la Mabatini jijini hapa huku wakitumia gesti bubu iliyopo maeneo hayo.
Kwa siku tatu mfululizo, mapapazari wetu walimfuatilia na kujionea namna binti huyo mdogo akichukuliwa na mababa watu wazima na kwenda kula nao uroda kwa nyakati tofauti.

Anitha akivaa nguo zake baada ya kunaswa akifanya ukahaba.
AINGIA MTEGONI
Ili kupata ushahidi wa tukio hilo, makamanda wetu waliingia mzigoni na mmoja wao akajifanya mteja ambapo alimtokea binti hiyo ambaye alikubali kwenda kulala naye  kwa dau la shilingi 5,000.

Binti huyo aliyejitambulisha kwa jina la Anitha aliongozana na kamanda wetu hadi ndani ya gesti bubu inayotumika kwa uchafu huo bila kujua kwamba alikuwa ameingia ‘choo cha kiume’.
Anitha akiohojiwa baada ya kunaswa akiwa kazini.
OFM KAZINI
OFM wakiwa na wadau wengine waliokubali kushiriki katika zoezi hilo ambalo ni aibu kwa uongozi wa jiji hili na serikali kwa jumla, walikuwa tayaritayari jirani na gesti  hiyo wakisubiri maelekezo kutoka kwa kamanda aliyeingia na changudoa huyo mtoto.

Vifaa vya mawasiliano vya OFM vilifanya kazi yake vyema ambapo kamanda aliyekuwa chumbani alitoa maelekezo kwa wenzake kuwa changudoa yule, alikuwa amesaula ndipo wakaingia na kufotoa picha za kutosha.
MSIKIE MWENYEWE
Alipogundua kuwa kumbe ulikuwa mtego wa kumnasa aliomba asamehewe kwa madai kwamba alilazimika kufanya vile kwa lengo la kujitafutia maisha kwa vile kwao hali ni mbaya.


“Jamani mimi ni mdogo, nina miaka 17, sina baba wala mama na hali ya maisha ni ngumu ndiyo maana niliamua kuingia kwenye biashara hii,” alisema Anitha.
Hata hivyo, uchunguzi wa Risasi Mchanganyiko, umeonyesha kuwa, Anitha ni muongo kwani ametoroka nyumbani kwao Mahina, Nyakato ambako alikuwa akiishi na wazazi wake na kukatisha masomo yake akiwa kidato cha pili.
Chumba alipokutwa Anitha kitandani pakiwa na kinga.
WAZAZI SOMENI HAPA
OFM inatoa wito kwa wazazi kuwa makini na malezi ya watoto wao kwa kuwafuatilia mara kwa mara ili wasiharibike na kuiga tabia kama ya Anitha. Aidha, wazazi wa Anitha wanapaswa kuchukua hatua za makusudi kumwondoa binti yao katika biashara hiyo mbaya inayohatarisha usalama wa afya yake.


-GPL

HII KALI:MAKAHABA WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA KUKOMESHA UNYANYASAJI DHIDI YA WAFANYABIASHARA YA NGONO KENYA


LEO ni Siku ya Kimataifa Kukomesha Unyanyasaji Dhidi ya Wafanyabiashara ya Ngono Duniani. Nchini Kenya wafanyabiashara ya ngono walijumuika kwa pamoja na kufanya maandamano ya amani jijini Nairobi na Kisumu na kuitaka serikali ishughulikie matatizo yanayowakabili na kutaka kazi yao itambulike rasmi kama kazi nyenginezo.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari