Like Us On Facebook

OGOPA SANA:JUSTIN BIEBER ANYONYA MAZIWA YA MWANADADA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE

Justin Bieber amepigwa picha akibusu ziwa la binti anayesemekana kuwa ni  stripper na picha hii imeonyesha sura ya kijana mwingine anayejulikana kama  Khalil Sharieff  ambaye ni rafiki wa karibu wa Justin Bieber.
Binti huyu mburudishaji wa vijana kwenye shughuli zao inasemekana alipewa kazi hio maalum kwa ajili ya pati ya  Justin na marafiki zake huko L.A na wakati wa sherehe hio Justin hakutaka kukosa nafasi ya kujua utamu wa ziwa la binti huyo anayesemekana kuwa na umri mkubwa zaidi ya Bieber
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari