Like Us On Facebook

WEMA SEPETU ACHORA TATTOO MPYA YA KICHINA

              Eti wapenda fashion tattoo hii imempendeza??
Staa wa bongo muigizaji,aliewahi kuwa miss tanzania mwaka 2006, kipenzi cha watu wengi mwana dada Wema Sepetu amechora tattoo mpya hivi karibuni baada ya kwenda kwenye ziara yake nchini china na aunt Ezekiel hivyo akachora tatoo hivyo yakichina ilio gharimu hela nyingi sana kwakuwa inamaana kubwa kwake......
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari