Mwanaume mmoja nchini Palestina amempa mateso makali panya baada ya kudai amemtia hasara kwa kuteketeza mshahara wake wa wiki (Kiasi cha Sh. 85,000/=)
- Baada ya kumpa adhabu hii, alimpiga picha na kuisambaza Facebook
Unakichukuliaje kitendo hiki?
-JF