Like Us On Facebook

JOSE CHAMELEON AACHIA NGOMA NYINGINE KALI ISIKILIZE HAPA NA UNAWEZA KUIDOWNLOAD

 
            Jose Chameleone ni msanii ambaye anayetumia mara nyingi lugha ya kiganda na kiswahili kwenye kuimba nyimbo zake. 

Kuimba kwa lugha ya kiswahili ni moja sababu zinazompa fan base kubwa nchini Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla. 

Huu hapa ni wimbo mpya kutoka kwa Jose ambao pia ametumia lugha ya kiswahili.


TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari