Akiwa na manesi walioongozana naye, walimsaidia Salma huku kila mtu akiwa amepigwa na butwaa kwa kilichotokea kwani hakuna aliyekuwa anajua kama Salma alikuwa na ujauzito.
Salma alisema kuwa John alikuwa akimshawishi kila mara kufanya mapenzi japo alimkatalia kwa kuwa alijua akifanya kitendo hicho atapata mimba.
Baada ya kupata taarifa hizo mama wa Salma pamoja na ndugu zake walitoa taarifa Kituo cha Polisi Urafiki ambapo walifungua jalada la mashtaka lenye namba RB, URP/RB/7316/2013 KUBAKA na kupewa PF3 kwa ajili ya matibabu na uthibitisho wa daktari.
Kaburi la kichanga.
Walimu wa shule anayosoma Salma, walipigwa na butwaa baada ya kupata
taarifa hizo na kueleza kwamba hawakuwa na taarifa kwamba denti huyo
alikuwa mjamzito.Kichanga hicho kilizikwa makaburi ya Ufi, Shekilango jijini Dar.
-GPL