kijana anayetuhumiwa kumteka na kufanyia mauwaji dereva Boda boda Edga Lalika akiwa amezimia baada ya kupewa kichapo na madereva boda boda eneo la Stendi kuu ya mkoa wa Iringa baada ya kukamatwa eneo la Mwangata

Mwili wa marehemu Edga Lalika anayedaiwa kuuawa na mtuhumiwa huyo juu aliyekamatwa .
Msafara wa madereva boda boda wakilifukuza gari la polisi kwa nyuma