Like Us On Facebook

PICHA: MTUHUMIWA WA MAUAJI YA DEREVA WA BODA BODA APEWA KICHAPO NA WANANCHI IRINGA....

kijana anayetuhumiwa kumteka na kufanyia mauwaji  dereva Boda boda Edga Lalika akiwa amezimia baada ya kupewa kichapo na madereva boda boda eneo la Stendi kuu ya mkoa wa Iringa baada ya kukamatwa eneo la Mwangata

Mwili wa marehemu Edga Lalika anayedaiwa kuuawa na mtuhumiwa huyo juu aliyekamatwa .
Polisi wakimuokoa mtuhumiwa wa mauaji ya dereva boda boda leo mjini Iringa
Askari polisi mjini Iringa wakimuokoa mtuhumiwa




Hapa akiingizwa katika gari la polisi kunusuru kuuawa kwa kuchomwa moto

Wananchi wakishuhudia tukio hilo leo





Gari la polisi ambalo limembeba mtuhumiwa wa mauaji ya dereva boda boda


Msafara wa madereva boda boda wakilifukuza gari la polisi kwa nyuma
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari