Like Us On Facebook

MSANII KOLETA AELEZEA JINSI ANAVYOTUMIA POMBE KUPIGA PUNY*TO



 
         STAA wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ameibua maswali midomoni mwa watu kwa kusema kwenye maisha yake hafikirii kuacha kunywa pombe hadi atakapoingia kaburini.

 Akizungumza na GPLJumatatu iliyopita, Koleta alisema pombe imekuwa tulizo kamili la moyo wake uliojaa majeraha ya mapenzi na kwamba humuondoa katika hamu ya tendo la ndoa.

“Mtu akitaka kukorofishana na mimi anishauri kuacha pombe, siwezi na nitakunywa hadi siku naingia kaburini. Pombe inanifariji, inaondoa hamu ya mapenzi,( kwa  kujichua ) ” alisema Koleta.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari