
Anaitwa faith anasoma chuo kikuu cha mt kenya ambaye unaambiwa kila akikatisha korido za chuo hicho lazima watu waache wanachokifanya kwa jinsi alivyojaliwa huko nyuma.... na unaambiwa midume kibao wakiwemo mawaziri wanajigonga kila kukicha kwa binti huyo... hata hvyo inasemekana faith ni moto wa kuotea mbali linapokuja swala la peper jambo ambalo linawaacha watu na maswali kama kweli na akili zake au kalio linafanya kazi yake.



