Msanii wa bongo Move ambae ni mtoto wa kalani wa bank kuu aliyefahamika kwa jina la Nance Njozy ameachia hewani picha za aibu kwa makusudi kabisa kwa lengo la kutafuta wanaume.
Habari zilizoifika Xdeejayz juzi zilisema kuwa Nance ambae babaake ni mfanyakazi wa Bank Kuu ya Tanzania ameamua kujidhalilisha makusudi ili kupata umaarufa pamoja na kuwapata mabwana watakaomla uroda bila shida.
Chanzo
chetu kilichofikisha picha hizo kilisema kuwa Nance ambae hivi karibuni
pia lmanusra afumaniwe na mke wa Mh mmoja jina tunalo ambae amepewa
Cheo Kikubwa hivi karibuni na mkubwa wa nchi na alitoka nduki ndani ya
hotel akiwa mtupu Mkoani Dodoma.

SOURCE: XDEEJAYZ