Akiongea ndani ya 255 ya XXL- Clouds fm amesema kuwa video hiyo itatazamwa kwanza na watoto yatima na watu wasiojiweza ili kuwapa fursa sawa na watu wengine na sio kila siku kuwasahau na kuwatenga bali kuwa nao karibu kwa kila kitu.

Baabkubwa inamtakia mafanikio mema na kuipeleka Bongo Fleva kwenye level nyingi ne kubwa kimataifa zaidi.