
 Siku zote sitoacha kumshukuru Mungu kwa kila hatua
ninayopiga katika 
safari yangu ya Music,na sitokutendea 
haki nisiporudisha shukrani za 
dhati 
kwa wewe shabiki yangu wa kweli unae 
endele kunipa sapoti 
inayonifanya nizdi kukaza 
kukutengenezea mambo mazuri zaidi..hii ikiwa 
ni ziara
 yangu mhimu kabisa nchini Naija,kwa ajili ya kupika kile
 unachkisubilia kwa hamu,my number one remix na
 mwanangu Davido,hii 
ilikuwa ni jana usiku
 tukiwa studio,hii ni studio ya Davido iliyopo 
nyumbani
kwake na kkubwa tulichokuwa tunakifanya ni kumalizia kabisa 
audio kabla ya kuingia mzigoni kushoot kideo.......
![]()  | 
| Davido nyuma ya screen akifanya mambo yake kwa umakini kabisa.....!!! | 


 Team yote hii ni kuhakikisha kila kitu 
kinaenda sawa kabisa..Babu tale kwa mbali mwenyewe kamechishaa.....!!!

![]()  | 
| When Skelewu meet Ngololo..stay tuned..we coming baby..WCB for life huny | 



