Like Us On Facebook

BAADA YA KUKUTANA NA PICHA YAKE HOTELINI HIKI NDICHO ALICHOKIFANYA DIAMOND...!! Mtazame hapa..

 
         Diamond Platnamz ambae yuko Hongkon kwa sasa, ameamua kutia saini kwenye moja ya picha yake aliyokuta imebandikwa katika ukuta wa hoteli moja ya ki-africa, kuonyesha shukrani kwa mmiliki wa hoteli hiyo. Kwambaaali kama naiona picha ya Wema Sepetu, sasa sijui na yeye amesaini, lol, tutajua baadae
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari