Like Us On Facebook

PICHA:M2 THE P,CHAMBER SQUAD,DULY SYKES WAFANYA DUA KWENYE KABURI LA MANGWEA

            Kundi la Chamber Squad (Noorah na Maze B) aliyekuwa rafiki wa karibu na marehemu Albert Mangwair, M2 the P, Dully Sykes, Mchizi Mox na wengine leo wamemtembelea mama yake Ngwair mjini Morogoro pamoja na kwenda kwenye kaburi lake na kumuombea.
IMG_0903
M2 THE P akiwasha mshumaa kwenye kaburi la rafiki yake Mangwea.
M2 the P akiwasha mshumaa kwenye kaburi la rafiki yake Mangwea
M2 THE P,Dully Sykes,Mchizi Mox na wadau wengine kumuombea rafiki yao kipenzi marehemu Albart Mangwea.
M2 THE P, Dully Sykes, member wa Chamber Squad na wengine wakimuombea rafiki yao kipenzi marehemu Ngwair
Shughuli hiyo ya kumuombea marehemu Albert Mangwea ilienda sambamba na kuwasha mishumaa kwa imani ya kikristu ili kumwangaza huko aliko.
IMG_0902
Maze B akipiga picha kaburi la Ngwair
IMG_0911

IMG_0912
Mchizi Mox akiwa ameshikilia mishumbaa mbele ya kaburi la Mangwair
IMG_0914
Sala ya kumuongea Ngwair ikiendelea
IMG_0904

IMG_0906

IMG_0908

IMG_0909



SOURCE: BONGO5
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari