“Babu yangu mzaa mama ambaye ndiye ameachwa mrithi wa Kulola na alikuwa pia msaidizi wake, Askofu Mwaisabila walikuwa marafiki sana na muda mwingi nilikuwa nikikaa nyumbani kwa Kulola hivyo nimedumu katika misingi ya Kilokole,” alisema Jimmy huku akisisitiza kuwa hata filamu nyingi anazocheza zina maudhui ya dini.