
“Maskini ya Mungu naishi maisha yangu wala sina habari na mtu, sijawahi hata siku moja kufikiria kufanya biashara hiyo, leo nimelia na naumia sana.”
Madai ya Wema kunaswa China kwa soo la ‘poda’ yamekuja ikiwa ni siku chache tu tangu Video Queen, Rehema Fabian akiri kutupwa selo nchini humo kwa kesi ya madawa ya kulevya.
-GPL