DUH:JAMANI WADADA HII SASA IMEZIDI: PICHA KAZAA MABINTI WAKIWA KATIKA MAHABA YA WAO KWA WAO
MABASI YA MAJINI KUMALIZA MSONGAMANO WA MAGARI JIJINI DAR!!
 Serikali, mashirika binafsi na wadau wa usafiri ndani na nje ya nchi wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali kukabiliana na msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Msongamano huo ambao unachangiwa kwa kiasi kikubwa
 na uduni wa miundombinu ikiwemo barabara, umekuwa ni kero kwa wananchi 
na Serikali kwa jumla.
                
              
Serikali imewekeza katika Mradi wa Mabasi Yaendayo
 Kasi (BRT) na usafiri wa treni ndani ya Jiji la Dar es Salaam kama njia
 mojawapo ya kumaliza tatizo la msongamano wa magari na foleni.
                
              
Msingi wa tatizo
                
              
Chanzo kikubwa cha foleni jijini Dar es Salaam si 
wingi wa abiria bali ni wingi wa magari binafsi na njia finyu 
zisizokidhi mahitaji ya watu walioko katika jiji hilo.
                
              
Njia muhimu ya kupunguza foleni na msongamano wa 
magari ni kupunguza wingi wa magari barabarani na kuweza kuzipanua 
barabara ili kuwe na uwezekano wa kupita kwa urahisi.
                
              
Kutokana na foleni na uduni wa huduma za usafiri 
wa umma watu wa kundi la kati, wamekuwa wakikimbilia kununua magari 
binafsi kwa ajili ya kwenda nayo kwenye shughuli zao kwa urahisi.
                
              
Aidha, katika kuendeleza harakati za kupambana na 
tatizo la usafiri, Kampuni ya Transevents Marketing ya Tanzania kwa 
kushirikana na Kampuni ya Dutch Amphibious Transport Vehicles (DATV) ya 
Uholanzi inaendelea na mchakato wa kuleta usafiri wa mabasi ya abiria 
yenye uwezo wa kusafiri nchi kavu na majini.
                
              
Mkurugenzi Mtendaji wa Transevents, Peter Nzunda 
anasema teknolojia hiyo ya mabasi ya nchi kavu na majini (amphibious) 
ina lengo la kupunguza tatizo la foleni kwenye barabara za Dar es Salaam
 hususan katikati ya jiji kwa kuwa mabasi hayo huweza kupita nchi kavu 
na majini.
                
              
Hii ina maana kuwa hata katika maeneo yenye 
barabara zisizo nzuri au zenye tope, magari hayo huweza kupita hivyo 
kutosababisha foleni kama ambavyo hutokea sasa katika baadhi ya maeneo 
hasa mvua zinaponyesha na kuharibu barabara.
                
              
Anasema mbali na lengo hilo, mabasi hayo 
yatatumika kama vivutio vya utalii kwa kufanya utalii wa baharini ambao 
kwa Tanzania haujashika kasi, licha ya sehemu kubwa ya nchi kuzungukwa 
na maji.
                
              
“Mpango huo wa mabasi ya nchi kavu na majini 
unalenga kutoa ushawishi kwa watu wa kundi la kati ambao wanatumia 
magari binafsi waegeshe magari yao na kutumia usafiri huu ambao utakuwa 
wa hadhi yao na unaokidhi haja kwa ubora wake,” anasema Nzunda na 
kuongeza:
“Lengo ni kujenga maegesho ya magari maeneo mbalimbali 
kandokando ya bahari, watu wataegesha magari yao na kupanda mabasi 
yatakayopita majini kwenda Posta na baadaye kurejea kwa utaratibu huohuo
 na kuyachukua magari yao tena kwenye maegesho walipoacha magari yao”.
Shughuli za utalii
Nzunda anasema mbali na teknolojia hiyo kutumika 
kama usafiri wa umma Jiji la Dar es Salaam, mabasi hayo yatatumika 
kupeleka watalii kwenye hifadhi za taifa zinazozungukwa na maji kama 
vile Bagamoyo, Mbudia, Mafia na visiwa vingine ili kujionea mambo mengi 
zaidi ya kiutalii.
“Tunataka pia watu wanaokwenda kwenye fukwe 
wasiishie kulala na kucheza mchangani, bali wawe wanapanda mabasi haya 
na kutembelea sehemu  mbalimbali zenye vivutio baharini; hiyo itakuwa ni
 fursa ya watu kuzunguka baharini wakiwa ndani ya mabasi hayo 
yatakayokuwa katika miundo tofauti,” alisema Nzunda.
Mahitaji ya mradi
Nje ya Kampuni ya Dutch Amphibious Transport 
Vehicles (DATV) kutaka kuingiza teknolojia hiyo nchini, Serikali ya 
Uholanzi pia ipo tayari kuchangia  kwa asilimia 50 ya gharama za mradi 
wote ambao gharama zake zitajulikana mara baada ya kufanyika tathmini wa
 mradi.
Aidha, Serikali ya Tanzania, wawekezaji katika 
sekta ya usafirishaji wa abiria nchi kavu na majini na wadau wengine 
watatakiwa kuchangia asilimia 50 zilizobaki katika kufanikisha kuanza 
kwa mradi huo ambao mchakato wa kupata kibali umeshaanza.
Meneja Mwendeshaji wa Transevents Marketing, 
Mahamud Omari anaiomba Serikali kusaidia uharakishaji wa utoaji wa 
leseni ya uingizwaji wa teknolojia hiyo mpya ya mabasi.
“Mchakato wa kupata kibali umeshaanza na matarajio
 yetu ni kufanikisha hatua hiyo baada ya miezi sita kuanzia sasa,” 
anasema Omari.
Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Edna Rebecca 
anasema mradi huo wa ‘Mabasi ya Majini na Nchi Kavu’ utatengeneza ajira 
nyingi kwa vijana wengi na kuongeza fursa za kibiashara kwenye hoteli.
Pia mabasi hayo yataongeza pato la taifa kupitia 
utalii na maendeleo ya teknolojia hiyo kwa jumla, kwa ajili ya kizazi 
hiki na kijacho, ukizingatia takwimu za Shirika la Makazi Duniani, 
zinaonyesha miaka 50 ijayo, Jiji la Dar es Salaam litakuwa na wakazi 
wapatao milioni 18.
Mabasi hayo yatatumika kwa shughuli za harusi hasa
 kwa wanandoa ambao watapenda kufunga ndoa ndani ya maji.Pia yatatumika 
kwa safari za kitalii za wafanyakazi wa kampuni mbalimbali, wanafunzi, 
wanakwaya, wanavikundi na klabu za mipira.
                    
“Usafiri huu utakuwa ni wa bei ya kati ambayo itaendana na 
huduma bora na utalenga kuziba changamoto zote ambazo zinapatikana sasa 
kwenye usafiri mwingine wa umma,” anasema Rebecca na kuongeza:
“Kuna watu wanapanda magari kwa kulipia Sh1,000 
badala ya Sh400 kutoka Posta kwenda Mwenge ili kukwepa adha ya kubanana 
kwenye daladala zinazokaa muda mrefu kwenye foleni, kwahiyo unaweza 
kuona ni kwa namna gani watu wanahitaji huduma bora za usafiri wa umma.”
Katika mazingira ya kawaida familia nyingi jijini 
Dar es Salaam zinatumia magari matatu kwa wakati mmoja yaani baba, mama 
na mtoto, jambo linaloongeza masongamano barabarani.
Rebecca anasema usafiri huo utawafanya watu hao 
kuyaacha magari yao nyumbani au kwenye maegesho ya magari yatakayojengwa
 na hivyo kupunguza kabisa idadi ya magari barabarani.
Mabasi hayo pia yatapunguza gharama za maisha 
zinazotokana na matumizi ya mafuta kwani kama mtu anaweza kutumia lita 
20- 50 kwa siku.
Serikali inasemaje
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Usafiri wa Nchi 
Kavu na Majini (Sumatra), David Mziray anasema teknolojia hiyo ya 
usafiri wa mabasi ya nchi kavu na majini imekuwa na msaada mkubwa kwa 
nchi nyingi Ulaya, kuja kwake Tanzania itakuwa ni habari njema hususan 
wakati huu ambapo jiji linakua kwa kasi.
 “Kazi yetu ni kupokea maombi na kuangalia kama 
yanakwenda sambamba na sheria na kanuni zetu na kama unavyojua hii ni 
aina mpya ya usafiri kwa hiyo lazima kutakuwa na mambo ya msingi ya 
kuyajadili na kuyapatia ufumbuzi kabla ya kuanza,” Anasema Mziray
Baadhi ya wananchi wanasema mradi huo unaweza kusaidia sana kuondoa kero ya usafiri Dar es Salaam.
-Mwananchi
-Mwananchi
UNYAMA: KIJANA AUA MAMA YAKE KWA JEMBE HUKO KAHAMA,TUNAOMBA RADHI KWA PICHA
Katika
 hali ya kusikitisha ,kuhuzunisha na isiyokuwa ya kawaida kijana mmoja 
mkazi wa kijiji cha Mwakuhenga wilayani Kahama mkoani Shinyanga amemuua 
mama yake kwa kumkata na jembe kichwani na kusababisha kifo chake.
Habari 
kutoka Kahama zinasema tukio hilo limetokea jana majira ya saa mbili 
usiku na chanzo halisi cha tukio hilo bado hakijajulikana.
Habari kamili kuhusu tukio hili tutakuletea kupitia kwenye blog hii
CHANZO: MALUNDE BLOG
<<BOFYA HAPA >>
JE UMETAFUTA KAZI KWA MUDA MREFU BILA MAFANIKIO?KAZI HIZI HAPA SASA CHAGUA INAYOKUFAA!
 
GRAPHIC DESIGNER, TANZANIA     
Qualifications: National Diploma or degree in Design
 Details:Daily News 10 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
SCIENCE EDITOR, TANZANIA     
Qualifications: Bachelor’s degree in Science with Education (majors Chemistry and Biology)
Apply: oxfordtz@oup.com
Details:Daily News 10 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
SALES  EXECUTIVE, TANZANIA     
Qualifications: A relevant degree or Diploma in Sales & Marketing
Apply: oxfordtz@oup.com
Details:Daily News 10 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
CLIENT OPERATIONS MANAGER     
Qualifications: Degree in Business  Administration or equivalent, at least 5 years experience in clearing and forwarding
Apply: carees.tanzania@bollore.com
Details:The Guardian 14 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
CUSTOMS RISK MANAGER     
Qualifications: Degree in Business Administration or equivalent ITA Certificate or similar certificates
Apply: carees.tanzania@bollore.com
Details:The Guardian 14 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
SALES REPRESENTATIVE - 4 POSTS     
Qualifications: University degree or Diploma from a reputable higher learning institution
Apply:Head of Human Resources Total Tanzania Limited
Box 1503, Dar es Salaam
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 28  February , 2014
DRIVERS     
Qualifications: Education level shall be minimum Form IV level (Ordinary Certificate of Seconadary Education
Apply: Human Resources Department Box 95068, Dar es Salaam
Details:Mwananchi 14
February 2014
Deadline: 24  February , 2014
SENIOR  LECTURER     
Qualifications:
 Holder of a PhD in a specialised functional area with at least nine 
years of work experience related to teaching and/or research
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014
SENIOR  RECORDS MANAGEMENT  ASSISTANT  II   
Qualifications:
 Holder of a Diploma in Records management from a recognised institution
 with working experience of at least six years
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014
SENIOR  LIBRARY  ASSISTANT     
Qualifications:
 Holder of a Diploma in Library and Information studies from any 
recognised institution with working experience of at least six years
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014
SENIOR  WEB OFFICER    
Qualifications: Bachelor’s degree in Science,Communication,Public Relations,Technical writing or related field
Apply: Director of Human
Resources CRDB Bank
Box 268, Dar es Salaam
Details:The Guardian 10
Febuary 2014
Deadline: 01  March, 2014
SALES MANAGER     
Qualifications:
 Bachelor’s degree or its equivalent in Business Administration with 
biases in Marketing and sales,Possesion of postgraduate or  Master’s 
degree will be an added advantage
Apply: Director of Human
Resources CRDB Bank
Box 268, Dar es Salaam
Details:The Guardian  10
February 2014
Deadline: 01  March, 2014
HEALTH ADVOCACY AND ENGAGEMENT DIRECTOR   
Qualifications: Master’s degree
 in Public Health,Health Economics,Health Policy or a related field PhD,MD or Dr Ph preferred  
Apply:Country Human Resources Manager Plan International Tanzania
Box 3517, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Feb 2014
Deadline: 28 February, 2014
MANAGER CALL  CENTRE    
Qualifications: Degree/Advanced Diploma or its equivalent in Business Administration from
 a recognised training institution,
Possesion of a Master’s degree
 will be an added advantage
Apply: Director of Human
Resources CRDB Bank
Box 268, Dar es Salaam
Details:The Guardian 10 Feb 2014
Deadline: 01  March, 2014
GEOGRAPHICAL  INFORMATION SYSTEM (GIS) EXPERT
Qualifications:
 A Holder of degree or Advanced Diploma in Land 
surveying/Planning/Information Technology/Geography with emphasis in GIS
 or should have pursued a Certificate or Diploma program in GIS
Apply: The Managing Director Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority
Box 13600, Arusha
Details:The Guardian 11 Febr2014
Deadline: 28  February, 2014
PROJECT  ENGINEER    
Qualifications:
 A Holder of Bachelor Science degree/Advanced Diploma in 
Civil/Sanitary/Environmental Engineering from a recognised higher 
learning Institution
Apply: The Managing Director Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority
Box 13600, Arusha
Details:The Guardian 11 Febr2014
Deadline: 28  February, 2014
CHIEF  MANAGER - HUMAN
RESOURCES  &  ADMINISTRATION    
Qualifications: Holder of Master’s degree in Public Administration, Human Resource Management or Business Administration
Apply: The Managing Director DCB Commercial Bank Ltd
Box 19798, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Febr2014
Deadline: 25  February, 2014
ACCOUNTANT GRADE II    
Qualifications: Holder of a Full professional qualification i.e. CPA,(T),ACCA,ACA,ICMA and has been registered with NBAA
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014
FINANCE AND ADMINISTRATION DIRECTOR  
Qualifications: Master’s degree
 in finance or financial Management and/or a professional qualification in Accountancy
Apply:Country Human Resources Manager Plan International Tanzania
Box 3517, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Febr2014
Deadline: 28 February, 2014
CHIEF OF PARTY
Qualifications: Master’s degree
 in Public Health,Health Economics,Health Policy or a related field PhD,MD or Dr Ph preferred
Apply:Country Human Resources Manager Plan International Tanzania
Box 3517, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13
Febr2014
Deadline: 28 February, 2014
FUNDRAISING OFFICER
Qualifications:
 Degree in Business Management,Project Management,Public relations Mass 
Communication,Business Law,or a related field preferred
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014
DIVERS - 2 POSITIONS
Qualifications: Secondary School and know how to read,write and count; must posses a valid Tanzania driver’s licence class ‘C’
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014
ASSISTANT  MEDICAL  OFFICER - 2 POSITIONS
Qualifications: Advanced Diploma in clinical Medicine and registered as a qualified medical practitioner
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014
MEDICAL DOCTORS - 2 POSITIONS
Qualifications: A Medical degree (MBBS),MB,or MD) and registered as a qualified medical practitioner  in Tanzania
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014
SENIOR WATER ENGINEER    
Qualifications:
 A Holder of Bachelor Science degree/Advanced Diploma in 
Civil/Sanitary/Environmental Engineering from a recognised higher 
Learning Institution
Apply: The Managing Director Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority
Box 13600, Arusha
Details:The Guardian 11 Feb 2014
Deadline: 28  February, 2014
HUMAN RESOURCES AND ADMINISTRATIVE OFFICER
Qualifications: Bachelor’s degree in Human Resource Management or equivalent
Apply: Human Resources and Administrative Manager
Box 10160, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Febr2014
Deadline: 28 February, 2014
COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II - 4  POSITIONS
Qualifications:
 Holder of a degree in Sociology,Social work and Community Development 
from a recognised institution with 1st class or upper 2nd class or 
Master’s degree in a relevant field
Apply: Tanzania Petroleum
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014
ADMINISTRATIVE OFFICER II - 2  POSITIONS
Qualifications:
 Holder of a degree in Public Administration from a recognised 
institution with 1st or upper 2nd class Master’s degree in a relevant 
field
Apply: Tanzania Petroleum
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014
LABORATORY TECHNICIAN II - 4  POSITIONS
Qualifications: Holder of a Diploma in Laboratory Technology from a recognised institution followed by at least 2 years post
 -qualification experience
Apply: Tanzania Petroleum     
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014
INSTRUMENTATION ENGINEER II - 8  POSITIONS
Qualifications:
 BSc. in Instrumentation Engineering or related field with 1st class or 
upper 2nd class or Master’s degree in Economics
Apply: Tanzania Petroleum
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014
MARKETING OFFICER II -2  POSTS
Qualifications: Holder of a Bachelor’s degree in Marketing with 1st class or upper 2nd class Apply: TPDC
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014
MONITORING AND EVALUATION OFFICER
Qualifications: Master’s degree in Public Health,Epidemiology,Demograhpics or a related field
Apply: Director of Human Resource and Admistration Pathfinder International
Box 77991, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 21 February, 2014
COMMUNITY HEALTH PROGRAM OFFICER
Qualifications: Bachelor’s degree /Diploma in Medicine,Public Health,Nursing or equivalent
Apply: Director of Human Resource and Admistration Pathfinder International
Box 77991, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 21 February, 2014
PROJECT MANAGER
Qualifications: Advanced degree in Public Health,Social Sciences or related field
Apply: Director of Human Resource and Admistration Pathfinder International
Box 77991, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 21 February, 2014
ASSISTANT INTERNAL AUDITOR
Qualifications:
 Holder of a degree in Accounting or equivalent qualification from a 
recognised institution, knowledge in Accounting software will have an 
advantage
Apply: Director General gaming Board of Tanzania
Box 1717, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014
LICENSING OFFICER
Qualifications:
 Holder of first degree in Law (LLB),Bachelor of Business 
Administration, B. Com Accounting,B.Com Finance or equivalent 
qualification from a recognised institution. Holders of LLB degree who 
are registered as advocates of the High Court will have added advantage
Apply: Director General Gaming Board of Tanzania
Box 1717, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014
PRINCIPAL  PROCUREMENT -
OFFICERS - 4 POSITIONS
Qualifications:
 Bachelor’s degree in Procurement and Materials Management from 
recognised higher institutions, Master’s degree in a relevant field will
 be an added advantage
Apply: Senior Manager, Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Feb, 2014
Deadline: 28 February, 2014
  
MANAGER PROCUREMENT -TENDE-
RING
Qualifications:
 Bachelor’s degree in Procurement and Materials Management from 
recognised higher institutions,Master’s degree in a relevant field will 
be an added advantage
Apply: Senior Manager Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014
MANAGER PROCUREMENT -CONTRACTS AND COMPLIANCE
Qualifications:
 Bachelor’s degree in Procurement and Materials Management from 
recognised higher institution, mMaster’s degree in a relevant field will
 be an added advantage
Apply: Senior Manager Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014
SENIOR MANAGER PROCUREMENT
Qualifications: University
degree in Business Admini
stration,Procurement and
Commerce
Apply: Senior Manager Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014
SECURITY GUARD - 7 POSITIONS Qualifications: Holder of Form IV with National Service training as an added advantage
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline: 19 February, 2014
OFFICE ATTENDANT III
Qualifications: Holder of Form IV Certificate or equivalent
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline: 19 February, 2014
TUTORIAL  ASSISTANT - 2 POSTS
Qualifications:
 Possession of a first degree from a recognised higher learning 
institution and must have obtained an upper second class having a 
minimum GPA of 3.8
Apply: The Chairpeson Search Team,C/oMoshi University College of Co-operatives and Business studies
Box 474, Moshi
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline:  February, 2014
  
LOAN DESK OFFICER
Qualifications:
 Holder of Bachelor’s degree in Accounting/Finance/Economic/Business 
Administration/Entrepreneurship or equivalent
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
Jan, 2014
Deadline: 19 February, 2014
OFFICE SUPERINTENDENT  
Qualifications: Holders of Diploma of Human Resource Management /Diploma in Public Administration
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
Jan, 2014
Deadline: 19 February, 2014
ASSISTANT LECTUERS FOR SOCIAL WORK/ARCHAEOLOGY AND HERITAGE/TOURISM/PORTUGUESE
Qualifications:
 Holder of Master’s degree in relevant areas of study with a GPA of not 
less than 3.5 or equivalent at undergraduate level
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
Jan, 2014
Deadline: 19 February, 2014
COMPUTER  PROGRAMMER
Qualifications:
 Holder of first degree in Computer Science, Information systems 
Telecommunication/Electrical Engineering/Information Technology/GIS or 
any related Computer studies with at least three years relevant working 
experience in a similar position
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014
RECORDS  MANAGEMENT  
ASSISTANT III   
Qualifications:
 Holder of Form IV/VI Certificate with two Principal Passes in Arts 
subjects and must have a credit pass in English at “O” level plus a 
Certificate in Records Management from a recognised institution
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014
PERSONAL SECRETARY II - 2 POSITIONS
Qualifications:
 Holder of National Form IV/VI Certificate with credit passes in English
 and Kiswahili or Foundation Course Certificate plus Diploma in 
Secretarial studies from TPSC or any recognised institution
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014
ACCOUNTS ASSISTANT  II
Qualifications: Holder of Form VI Certificate with NABE III/ATECII/Diploma in Accountacy /Module A and plus ICT skills
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014
ASSISTANT DEAN OF STUDENTS  
Qualifications: Holder of Master’s degree in Education majoring in Guidance and Counselling/social work
Qualifications: Holder of Master’s degree in Education majoring in Guidance and Counselling/social work
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline: 19 February, 2014
<<<<BOFYA HAPA UPATE UTAMU WA MJINI>> >> 
Baby Madaha atangaza kuachana na sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa amechoshwa na maisha ya presha

Akiongea  na  mwandishi wetu  juzikati jijini Dar es Salaam, Madaha 
alisema ishu ile imemsababishia matatizo makubwa ya kifamilia na hata 
kibiashara, hivyo kujutia mchezo mzima ulivyokuwa.
Alisema filamu anayoisambaza kwa sasa na kibao chake cha mwisho 
kukitoa cha Mr. Dj ndizo zitakazofunga pazia la mambo ya sanaa kwa 
upande wake.
“Nimeamua
 kuachana na sanaa kabisa, siwezi kuishi maisha ya presha yasiyo na 
uhuru. Nitarudi kwenye fani yangu niliyosomea (hakutaka kutaja), maana 
naishi maisha ambayo hayana amani kabisa,” alisema.
KAULI MBIU:NIPE SAMAKI NIKUPE UCHI..HII NI HATARI!!

Akina mama wamewezeshwa sasa kujikumu kwa kuvua Samaki wenyewe
Ila, katika sehemu hii ya Kenya, biashara hii haifanywi kwa ubadilishanaji wa pesa kwa Samaki.
Malipo ni ubadilishanaji wa ngono kwa Samaki: wanawake wanauza miili yao kwa matumaini kuwa wataeleka nyumbani na Samaki wengi.
Biashara hii inajulikana kama “ubadilishanaji wa ngono kwa samaki” ama, kwa lugha ya kiluo, inajulikana kama “jaboya”.
Lucy Odhiambo, 35, anatayarisha ununuzi wake wa mwisho, ambao ataupeleka sokoni; anawapasua samaki na kuwatoa uchafu wa tumboni. Ni mjane, na mama wa watoto tano, anasema kuwa wanawake hapa wanalazimika kufanya wasiyotarajiwa kufanya na jamii.
"Inanilazimu niuuze mwili wangu kwa wavuvi ili nipate samaki kwa sababu sina uwezo wa kujikimu", anaiambia BBC.
"Kawaida, mimi hulala na wavuvi wawili au watatu kwa juma. Naweza pata magonjwa, ila sina budi kufanya hivyo. Nina watoto ambao nafaa kuwalipia karo. Jaboya ni tendo baya mno. "
Ugonjwa anaouongelea hapa ni ukimwi ambao umeenea sana katika eneo hili. Ripoti za afya zinadhihirisha kuwa ugonjwa wa Ukinmwi umekithiri katika eneo hili ukiipiku kwa 15% maradufu ile idadi ya wastani ya nchi. Hii inatokana na biashara hii ya “ubadilishanaji wa ngono kwa samaki.
‘Hatutegemei tena wanaume’
Japo polepole, tabia hii inabadilika, huku ikielekea kuisha.
Wanawake Wavuvi
Dau hilo linatumiwa na wavuvi ambao amewaajiri kazi, na wanapovua Samaki, yeye ndiye hufanya uuzaji.
Anawalipa wafanyakazi wake na pia gharama za huduma za dau lake, kisha anasalia na hela kadhaa za kujikimu.
Mradi unaoendeshwa na shirika la uthamini la eneo hilo linalooitwa Vired unapata msaada kutoka kwa shirika la Marekani la US Peace Corps, na umeweza kuyabadilisha maisha ya wanawake katika eneo hilo.
Tunapiga gumzo wakati dau linazidi kuingia ndani ya ziwa , huku likipita juu ya magugu, na mimea ya baharini, jitihada inayowafanya wavuvi kuloa jasho.
"Niliona kuwa ningekufa iwapo ningeendelea kuuza mwlili wangu kwa minajili ya kupata samaki-na singeendelea,” Bi. Auma alisema.
“Mradi huu unanisaidia kupata riziki yangu, hivyo basi, si lazima niwategemee wanaume kujikimu. Na, ninapolipia gharama za huduma za dau, nafanya hivyo nafsi yangu ikiwa safi na tulivu.”
Tunapofikia sehemu Fulani ndani ya ziwa, wavu unatupwa majini.
Dakika chache baadaye, wavu unatolewa ukiwa umejaa Samaki.
Kisha, samaki mkubwa wa kamongo anainuliwa na kutupwa ndani ya dau, huku Bi. Auma akitazama.
“Nina furaha kubwa kutokana na jitihada za wavuvi wangu, pia nina furaha kuwa mimi ni mvuvi wa kike ambaye ana bidii na nguvu,” anasema huku akitabasamu.
Leo hii, mradi huu wa Vired, una idadi ya wanawake 19, ila shirika hilo linatumai kuwa idadi hii itaongezeka kadiri muda utakavyoendelea.
"Ubadilishanaji wa ngono kwa Samaki ni biashara yenye hatari kwa sababu, kila siku tunagundua kuwa watu wanakufa kutokana na ugonjwa wa Ukimwi,” anasema Dan Abuto wa shirika la Vired.
"Tunahitaji kuwainua wanawake hawa kiuchumi, kinafsi na pia kijinsia ili waweze kupata namna ya kujikimu na kujisimamia. Tuna furaha kuwa mradi huu unavuna matokeo mazuri, na pia wanawake hawa wanadhihirisha bidii na utashi.”
‘Nina aibu’
Ila, hii ni sehemu moja tu ya nchi yangu ambayo “jaboya” ni maarufu.Na hata hapa, kuna wale wavuvi ambao wanafurahia wakilipwa kwa pesa.

Dagaa
Nakutana na Felix Ochieng, 26, mvuvi ambaye ameoa ila bado anajihusisha na matendo ya ngono nje ya ndoa na wanawake wengine watatu kwa juma, huku akiwapa samaki.
Ananiambia kuwa mwanamke atalipia samaki wa shilingi 1000 kwa pesa taslimu ya shilingi 500 ($6; £3.50), huku akitumia mwili wake kujaza akiba ya hiyo shilingi 500 nyingine iliyosalia.
“Niilirithi tabia hii kutoka kwa babangu mwenye alikuwa akifanya vivi hivi," anasema, huku akiapa kuwa anatumia kinga.
Namuuliza iwapo ana aibu kutokana na kile anachofanya.
"Ndiyo, nina aibu,” anajibu huku akiangalia upande wa ziwa, “na ni tendo ovu. Ila, kuna matamanio yanayotokana na wanawake."
Bado kuna kazi kubwa inayotarajiwa kufanywa ili kuimaliza tabia hii ambayo imekita mizizi katika sehemu kadhaa nchini.
Ila japo kidogo kila siku, idadi ya wanaoshiriki tabia hii inapungua, na wanawake wanaoishi katika maeneo ya ziwa Viktoria wanapata kujua hatari zinazotokana na biashara hii.
Kuimaliza biashara hii ya “ubadilishanaji wa ngono kwa samaki” kabisa, tutahitaji kubadilisha fikra na mitazamo yetu, ili kuweza kupata mtazamo mzuri ulio faafu wa jinsia zote.
Na hiyo itakuwa ngumu kufanikisha; kikwazo cha kuweza kufanya biashara ya ubadilishanaji wa samaki kuwezeshwa na pesa pekee.
<<BOFYA HAPA UPATE UTAMU WA MJINI>>
NI MARUFUKU KUVAA VIMINI NCHINI UGANDA,UKISHIKWAA.......

Maandamano ya kkupinga agizo la wanawake kutovalia sketi fupi
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni,
 ametia saini sheria mpya inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na 
hatia ya kutembea nusu uchi au kuhusika na vitendo vinavyohusisha picha 
zenye watu uchi.
Akihutubia waandishi wa habari, mjini Kapmala, waziri wa maadili na utawala bora, Reverend Simon Lokodo alisema kuwa Rais Museveni alipitisha sheria hiyo tarehe 6 mwezi huu, miezi mwili bada ya bunge kuipitisha.
Kwa mujibu wa sheria hiyo kamati dhidi ya vitendo hivyo itabuniwa ili iweze kutekeleza sheria hiyo kwa kuhakikisha kuwa picha, au video zenye watu uchi zinanaswa na kuharibiwa.
Kamati hiyo, itajumuisha watu kutoka katika sekta mbali mbali ikiwemo ya habari na utumbuizaji.
Sheria hiyo inasema kuwa mtu yeyote atakayepatikana akijihusisha na vitendo cya watu kuwa uchi, kuvalia nusu uchi , kuona sinema za watu wakiwa uchi au kuchapisha picha za watu walio uchi kwa lengo la kuleta hisia tofauti utachukuliwa hatua kali za kisheria.
Waziri alisema kuwa serikali haitaki watu kuvalia nguo zisizo na heshima na kuzua hisia zisizofaa miongoni mwa watu.
Watakaopatikana wakivunja sheria na kuvalia visivyo watafungwa hadi miak 10 na wale watakaopatiokana na hatia ya kuhusisha watoto katika biashara ya ngono watafungwa hadi miaka 15.
<<BOFYA HAPA UPATE UTAMU WA MJINI>>
LAANA:HII NDIO PICHA ISIO NA MAADILI ALIYOITUPIA MWANAMUZIKI DAVIDO KWENYE UKURASA WAKE WA INSTAGRAM ALAFU GHAFLA AKAIFUTA
BREAKING NEWS: MAPIGANO MAKALI YANAENDELEA KATIKA ENEO LA MBEZI JUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Hili
 ni kundi la vijana waendesha bodaboda wakienda mtoni kumwokoa mwenzao 
ambaye wanadai ametekwa na wahuni wanaojificha mtoni na kukaba watu, 
mpaka sasa boda boda aliyetekwa yupo mwananyamala hospital na mmoja wa 
vijana wanaoaaminika kwamba ni vibakaba ameshauawa
Kuna mapigano makali eneo la kwa mzee Juma Kata ya Mbezi juu.
Habari zaidi zionasema kwamba Waendesha Bodaboda hao wanaendelea kupambana kwa kutumia silaha za jadi dhidi ya vijana wanaosemekana aidha
Habari zaidi zionasema kwamba Waendesha Bodaboda hao wanaendelea kupambana kwa kutumia silaha za jadi dhidi ya vijana wanaosemekana aidha
ni vibaka au wameiba pikipiki ya
 mwenzao.
Hali ni mbaya majeruhi ni wengi na inasemekana kuna vifo vimetokea.
Hali ni mbaya majeruhi ni wengi na inasemekana kuna vifo vimetokea.
SOURCE:kapinga blog
“NILIWAHI KULIPWA MIL 10 KWA KUFANYA SHOW MOJA YA MUZIKI MSIFIKIRI DIAMOND NDIO WA KWANZA”….MB DOG
Kama ulifikiri bongo fleva ilianza kulipa mamilioni miaka ya akina
 Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz na wengine, nikimaanisha kuanzia mwaka 
ya 2010, kwa leo inabidi ubadili mawazo yako.
“Lakini uzuri wakati mimi naanza kufanya, kazi zilifanyika na misingi za ile kazi zilikuwa zimekaa tofauti na watu wanavyosikia. Kwa hiyo uoga hata wa mapromota ulikuwepo wakati wanatusogelea. Kwa hiyo hatukuwa tunalipwa laki tatu viiile.” Mbwana Mohammed aka MB Dog ameiambia tovuti ya Times Fm.
Huenda inawezekana ulikuwa hujui kwa sababu wakongwe waliokuwa wanahit enzi hizo hawakuwa na tabia ya kuweka wazi kiasi wanacholipwa kama wanavyofanya wakali wa bongo flava wa kizazi hiki cha dijiti.
Mkali huyo wa ‘Latifa’ ameiambia tovuti ya Times Fm kuwa alikuwa anakutana na milioni kadhaa kwenye show zake, na kwamba kiasi kikubwa zaidi alichowahi kulipwa kilikuwa shilingi milioni kumi nchini Burundi.
“Yaani mimi show ya kwanza nimeanza kuifanya nimelipwa milioni tatu, show ya mwisho mimi kuifanya nimelipwa milioni kumi…ambayo ndiyo ilikuwa show ya maajabu yaani…kwa ubongo wangu nawaza naweza kufanya show tena ya watu wengi kama wale!! Nadhani ilikuwa mwaka 2006.” Amesema MB Dog na kusisitiza, “milioni kumi za kitanzania”Kumbe Bongo Flava ilianza kulipa zamani japo kwa wachache! Na huenda ni kwa sababu tu watu walikuwa hawaweki wazi wanachoingiza.
Hapa tumpigie picha Mr. Nice wa enzi hizo kwa kutumia mfano wa MB Dog.
Kama kweli mambo yalikuwa hivi, inaweza kuwa moja kati ya sababu zilizozaa wazo kati ya wakongwe Juma Nature na Lady Jay Dee kutaka Leo iwe ‘Kama Jana’.
LINAH ADUNGWA MIMBA NA MDOSI WA KIHINDI
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Estelinah Sanga maarufu kama 
Linah, anadaiwa kupewa ujauzito na kijana mmoja wa Kihindi anayejulikana
 kwa jina moja la Nagar.
Chanzo cha uhakika kimeliambia gazeti hili kuwa msichana huyo 
aliyeibukia kutoka kituo cha kukuza vipaji cha THT, amekuwa karibu na 
Mhindi huyo anayedaiwa kuishi Mbezi jijini Dar es Salaam kwa muda mrefu 
sasa na kwamba mimba hiyo imeonekana kumfurahisha sana msanii huyo.
“Huyu Nagar ni mpenzi wake wa muda mrefu na inaonekana hii mimba 
ameipenda sana. Kila siku anamsifu huyo mpenzi wake,” kilisema chanzo 
hicho kilichodai kuwa wawili hao wamekuwa wakiambatana pamoja katika 
sehemu mbalimbali za starehe.
Chanzo
 hicho kilisema Linah alikutana na mdosi huyo katika harakati zake za 
kimuziki na kwamba jamaa ameoza mno kwa binti huyo, mkali wa albamu ya 
Atatamani.
Linah alipopigiwa simu mara ya kwanza hakupokea, lakini baada ya 
kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno na kuulizwa kuhusu suala hilo, alipiga 
simu na kukanusha vikali tuhuma hizo.
“Nani
 kakwambia kama nina mimba? Hakuna kitu kama hicho, hayo ni maneno ya 
watu wanasambaza mtaani, mimi hata sijui wananitaka nini,” alisema.
Alipoulizwa kama hata yeye amewahi kusikia habari hizo, alisema 
anazisikia na kusisitiza kuwa siyo za kweli. Lakini alipotakiwa kusema 
kama anamfahamu Nagar, alimtaka mwandishi kuachana na habari hizo.
“Wewe
 si umeuliza habari za mimba? Sasa hayo mengine yanatoka wapi, 
ulichotaka kujua nimekujibu, hayo mambo mengine achana nayo,” alisema 
bila kufafanua zaidi
Subscribe to:
Comments (Atom)








 
 
 








<<
