Like Us On Facebook

HATARI:ARSENAL YAPEWA SPURS RAUNDI YA TATU KOMBE LA FA, RATIBA NZIMA NI NOMA KWA VIGOGO

KLABU ya Arsenal imepangwa na wapinzani wao wa London Kaskazini, Tottenham katika Raundi ya Tatu yaKombe la FA.
Manchester City watasafiri kuifuata Blackburn Rovers, Chelsea watamenyana na Derby ugenini na Manchester United watakuwa wenyeji wa Swansea.
Mabingwa wa sasa, Wigan wataanza kampeni zao za kutetea taji kwa kumenyana na Milton Keynes Dons nyumbani.
Mechi kali; Arsenal itamenyana na Tottenham Uwanja wa Emirates 
Jubilant: Wigan won the FA Cup last season against all odds by beating Man City in the final
Wigan ilishinda Kombe la FA msimu uliopita baada ya kuifunga Man City katika fainali

Aidha, Liverpool itamenyana na Oldham au Mansfield Uwanja wa Anfield, wakati West Brom itacheza na Crystal Palace, Newcastle na Cardiff na Norwich na Fulham. 
Oldham iliifunga The Reds 3-2 katika Raundi ya Nne mara ya mwisho na watakutana na kikosi cha Brendan Rodgers kama wataitoa Mansfield katika mchezo wao wa marudiano wa Raundi ya Pili.
Liverpool pia ilikutana na Mansfield katika Raundi ya Tatu msimu uliopita, na Luis Suarez aliiongoza timu yake kushinda 2-1.
Tricky customer: Luis Suarez helped knock out Mansfield with a handball last season
Luis Suarez aliisaidia Liverpool kuitoa Mansfield 

Mara ya mwisho Arsenal kushinda Kombe la FA ilikuwa mwaka 2005, lakini ili kushinda taji hilo tena italazimika kuwafunga wapinzani wake wakuu. 

RATIBA RAUNDI YA TATU KOMBE LA FA

Barnsley v Hartlepool/Coventry
Yeovil v Leyton Orient
Liverpool v Oldham/Mansfield
Nottm Forest v West Ham
Bristol City v Watford
Southend v Millwall
Middlesbrough v Hull
West Brom v Crystal Palace
Kidderminster v Peterborough
Doncaster v Stevenage
Stoke v Leicester
Southampton v Burnley
Newcastle v Cardiff
Rochdale v Leeds
Wigan v MK Dons.
Charlton v Wrexham/Oxford.
Man Utd v Swansea
Port Vale v Plymouth
Norwich v Fulham
Aston Villa v Sheff Utd.
Macclesfield v Sheff Wed.
Sunderland v Carlisle.
Bolton v Blackpool
Blackburn v Man City
Everton v QPR
Brighton v Reading
Arsenal v Tottenham 
Birmingham v Bristol Rovers/Crawley
Grimsby v Huddersfield
Ipswich v Preston
Derby v Chelsea
Bournemouth v Fleetwood/Burton
Matches to be played over the weekend of January 4-5.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari