Like Us On Facebook

Mkutano wa CHADEMA mkoani kigoma wasambaratishwa kwa mawe....Polisi watumia mabomu ya machozi kumuokoa Dr. Slaa


 
Taarifa za kusikitisha ni kwamba mkutano wa Dr.slaa wilayani Kasulu-Kigoma umevunjika baada ya vurugu kubwa kuibuka....
 
Kwa mujibu wa mtandao wa jamii forums ,Slaa anadaiwa kupigwa mawe na vijana wasiojulikana  wakati akiwa Jukwaani....
Baada ya vurumai hilo, polisi walilazimika kupiga mabomu ya Machozi ili kutawanya watu ....

Bado haijulikani, Slaa ameumizwa kiasi gani lakini polisi waliwahi kumuokoa na kumtorosha kusikojulikana....


TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari