Like Us On Facebook

JE WEWE NI MWANAMKE UNATAFUTA MWANAUME MSOMI NA MFANYAKAZI WA KUKUOA KAMA JIBU NI NDIYO CHANGAMKIA FULSA HII

 
Habari  yako  Admin

Mimi  ni  kijana  wa  kiume  mwenye  umri  wa  miaka  30.Elimu  yangu  ni  chuo  kikuu. Sina  mke  wala  mtoto.

Makazi  yangu  ni  Dar  na  ni  mwajiriwa  wa kampuni  flan  ambayo  sitaitaja  kwa  sasa.Kupitia  blog  yako, naomba  uniwekee  ombi  langu  la  kutafuta  mke  wa  kuoa...

Sichagui  dini wala  kabila  ila elimu  yake  ianzie  kidato  cha  nne  na  kuendelea.

Kwa  atakayekuwa  na  nia  ya  dhati, naomba  tuwasiliane  kwa njia  ya  email  yangu. Namba  ya  simu   ntampa  tukianza  kuwasiliana.

Email  yangu  ni  ayoubgula12@yahoo.com

Natanguliza  shukrani  za  dhati.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari