Like Us On Facebook

HAJAWAHI KUNIFIKISHA TOKA NIANZE KUWA NAE. NIFANYAJE NA MIMI NAMPENDA SITAKI KUMSALITI..

 
Ni mwezi wa sita sasa toka nimeanza uhusiano na mchumba angu, lakini mara zote nilizowahi kulala nae sijawahi kufika kilele, huwa akimaliza tu yeye husema amechoka, na wakati mwingine hata akijitahidi mimi huwa sifiki ninapo pataka, huwa inanikosesha raha pia nikifikiria kuwa nampenda sana, nimeshawahi kumwambia hii hali mara kadhaa lakini bado sijapata utatuzi. Naombeni Ushauri wadau

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari