NUSU ya watu wanaotumia
kondomu kwa
ajili ya kujikinga na mimba ama magonjwa
ya zinaa, hawajui namna ya kuitumia mipira
hiyo
ajili ya kujikinga na mimba ama magonjwa
ya zinaa, hawajui namna ya kuitumia mipira
hiyo
Tumia kondom mpya
kila mara unapofanya mapenzi.
Jitahidi kutokugusa sehemu za siri ya mpenzi wako (au osha
mikono yako) kabla ya kugusa sehemu zako za siri.
1. Usiguse sehemu
za siri za mpenzi wako kabla ya kuvaa kondom.
Angalia kwa
makini paketi za kondom kabla ya kuifungua.
Hakikisha
haijaharibika au kupasuka.
Angalia tarehe ya mwisho ya matumizi ya kondom hii, ambayo
itakuwa imechapishwa sehemu ya nje ya paketi ya kondom kuhakikisha tarehe
haijafika. Kama tarehe imeishafika na kupita, tumia kondom nyingine.