Like Us On Facebook

DIAMOND NA PENY WANYONYANA MATE KWEUPEE



           Wakati watu wakiongea mengi na kuzusha Dimond amemwaga mpenzi wake Penny na kurudiana na Wema Sepetu , Wawili hao Walikuwa wakilishana Cake na Kucheza Kitandani kama Watoto wadogo ...kama picha zinavyoonyesha ...Hakuna cha Wema wala nini ...Embu tuwaache Walale Jamani.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari