Like Us On Facebook

ANAYEJIITA MDOGO WAKE DIAMOND AMPA SALAMU ZAKA NEY WA MITEGO AMCHANA MBAYA MSIKILIZE MWENYEWE HAPA


           Hii ni kali hata kuliko ule wa Diamond kabla hajatoka.Dogo anamuita Nay wa Mitego Dada Neema wa Manzese Darajani na aache kujishaua ashatolewa barua.Mchumba wake ni CHIDI Benzi na mshenga ni Dully Sykes.Anajichora maua kwa kuwa ni Bibi Harusi mtarajiwa.

Anashangaa anajiita Nay wakati wazazi wake walimpa jina la Neema.Kiukweli dogo kaua ajabu.Nay akimkamata sijui itakuaje.Ni bonge moja la ngoma na sina mbavu kwa kweli.Isikilize hapa Chini na kuidownload.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari