Ustaa kazi sana....Kwa wasiomjua, huyu ni Nick Minaj ambaye ni mrembo na staa wa muziki huko Ng'ambo...
Kama unavyojua, mastaa hawaishiwi vituko na hufanya hivyo makusudi kabisa ili jamii iwazungumzie...
Akiwa barabara katika mishemishe zake, Mrembo huyu alijkuta akiumbuka baada ya upepo kuyaanika matiti yake kutokana na Vinguo vyake visivyo na HESHIMA alivyokuwa amevivaa