Ni tukio la aina yake..kama unavyoona ni mwanaume mwenye mke na watoto akiwa amefumwa akivunja amri ya sita na mwanamke mwenye familia na watoto....
Wananchi wenye hasira kali wawapa kichapo kikali ili liwe fundisho kwa wengine hapo mtaani.....
Hapa wakipelekwa polisi.....