Like Us On Facebook

MESSI AJIBU HAT TRICK YA RONALDO, BARCA IKIITANDIKA 4-0 AJAX, MUNTARI AIFUNGIA AC MILAN IKIICHAPA CELTIC 2-0,CHELSEA YAFA DARAJANI,ARSENAL YAUA UGENINI

       AMEJIBU; Lionel Messi amejibu mapigo ya mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid baada ya kuifungia hat-trick Barcelona katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Ajax katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya, Uwanja wa Nou Camp.
Muargentina huyo pamoja na kufunga mabao matatu peke yake usiku, pia alitengeneza bao la nne lililofungwa na Gerard Pique.
Haikuwa bahati yao, Ajax kwani walikosa hadi penalti baada ya kipa Victor Valdes kuokoa mkwaju wa Kolbeinn Sigthorsson.Messi alifunga mabao yake katika dakika za 22, 55 na 75, wakati Pique alifunga dakika ya 69.Kikosi cha Barcelona kilikuwa: Valdes, Alves, Pique/Bartra dk80, Mascherano, Adriano, Busquets, Fabregas/Xavi dk72, Iniesta, Sanchez, Messi, Neymar /Pedro dk72.Ajax: Vermeer, van Rhijn, Denswil, Moisander/van der Hoorn dk73, Blind/Schone dk78, Poulsen, de Jong/Serero dk59, Duarte, Bojan, Sigthorsson na Boilesen.
Precision: Messi bends in a long-range free-kick for his first goal of the evening
Mkwaju: Messi alifunga bao la kwanza kwa shuti la mbali la mpira wa adhabu
Number two: Messi slots his second goal past the helpless Vermeer
La pili: Messi akifunga bao lake la pili
Easy: Messi dribbles past defender Stefano Denswil
Kiulaini: Messi akimtoka beki Stefano Denswil
All smiles: Messi celebrates his opener with defener Dani Alves
Tabasamu: Messi akishangilia na beki wake, Dani Alves
Battle: Sergio Busquets shields the ball from Ajax's Siem de Jong (left) and Lerin Duarte
Sergio Busquets akidhibiti mpira katikati ya wachezaji wa Ajax, Siem de Jong (kushoto) na Lerin Duarte
Wasted opportunity: Kolbeinn Sigthorsson takes an unsuccessful penalty against Victor Valdes
Anakosa: Kolbeinn Sigthorsson alikosa penalti iliyochezwa na kipa Victor Valdes
Challenge: Alexis Sanchez tackles Ajax's Daley Blind at the Camp Nou
Alexis Sanchez akimvaa Daley Blind wa Ajax Uwanja wa the Camp Nou
Tussle: Barcelona defender Adriano attempts to block Ajax's Ricardo van Rhijn
Beki wa Barcelona, Adriano akimdhibiti Ricardo van Rhijn wa Ajax
Heads up: Pique rises highest to score Barcelona's third goal
Pique akienda hewani kuifungia Barcelona bao la tatu
Frustration: Neymar grimaces after missing an opportunity to score
Hasira: Neymar aking'aka baada ya kupoteza nafasi ya kufunga
Old friends: Javier Mascherano challenges loanee Bojan Krkic for the ball
Marafiki wa zamani: Javier Mascherano akichuana na Bojan Krkic anayecheza kwa mkopo
On form: Barca celebrate three points at the Camp Nou
Wako vizuri: Barca wakishangilia ushindi wao Camp Nou

Katika mchezo mwingine wa kundi hilo, AC Milan iliichapa Celtic 2-0 Uwanja wa San Siro, mabao ya Zapata dakika ya 82 na Muntari dakika ya 85.
Kikosi cha AC Milan kilikuwa: Abbiati, Zaccardo, Zapata, Mexes, Constant/Robinho dk76, Nocerino, De Jong, Muntari, Birsa/Emanuelson dk64, Matri/Poli dk87 na Balotelli.
Celtic: Forster, Lustig, Van Dijk, Ambrose, Izaguirre, Matthews/Boerrigter dk75, Brown, Mulgrew/Biton dk89, Samaras, Commons/Pukki dk77 na Stokes.Christian Zapata
Christian Zapata akitimka kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza AC Milan dhidi ya Celtic
Sulley Muntari
Mwafrika hatari: Sulley Muntari wa Milan akishangilia baada ya kufunga bao la pili zikiwa zimebaki dakika tano
Cristian Zapata
Phillipe Mexes akimrukia Cristian Zapata baada ya Mcolombia kufunga
Charlie Mulgrew
Ukuta mgumu: Wachezaji wa AC Milan wakiwa wameweka ukuta wakati beki wa kati wa Celtic, Charlie Mulgrew akipiga mpira wa adhabu
PANDE ZA DARAJANI 
 
MECHI nne bila ushindi. Kama Rafa Benitez angekuwa bado yupo kazini, anerushiwa mayai viza.
Jose Mourinho amepata kipigo katika mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa baada ya Chelsea kuchapwa mabao 2-1 nyumbani na FC Basle.
Oscar alitangulia kuwafungia The Blues dakika ya 45, lakini Salah akasawazisha dakika ya 71, kabla ya Streller kufunga la ushindi dakika ya 82 Uwanja wa Stamford Bridge.
Kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech, Ivanovic, Cahill, Luiz, Cole, Oscar, van Ginkel/Mikel dk75, Lampard/Ba dk76, Willian/Mata dk67, Eto'o na Hazard.
Basle: Sommer, Voser, Schar, Ivanov, Safari, Salah/Xhaka dk88, Diaz, Frei, Stocker/Ajetidk 83, Sio/Delgado dk65 na Streller.
Head in hands: Frank Lampard (left) looks stunned as Basle celebrate their shock victory at Stamford Bridge
Mkono kichwani: Frank Lampard (kushoto) akionekana mnyonge wakati Basle wanashangilia ushindi wao Stamford Bridge
Plenty to ponder: Gary Cahill, Oscar and John Obi Mikel reflect on a sobering defeat
Wanyonge: Gary Cahill, Oscar na John Obi Mikel wakisikitikia kipigo
Matchwinner: Marco Streller (second right) steals in at the near post to head Basle's decisive second goal
Mshii wa mechi: Marco Streller (wa pili kushoto) akiifungia bao la ushindi Basle
Head boy: Streller (centre left) celebrates with fellow goalscorer Mohamed Salah
Mkali wa vichwa: Streller (katikati kushoto) akishangilia na mfngaji mwenzake Mohamed Salah
Stunner: Mohamed Salah (centre) celebrates with his Basle team-mates after levelling the scores
Bao: Mohamed Salah (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake wa Basle baada ya kusawazisha
Equaliser: Mohamed Salah (centre) curls in a brilliant finish to level things up in the second half
La kusawazisha: Mohamed Salah (katikati) alifunga bao zuri
Not pretty watching: Jose Mourinho suffered only his second ever defeat at Stamford Bridge
Huzuni tu: Jose Mourinho amefungwa mechi ya pili tangu arejee Stamford Bridge
Rumblings of discontent: A Chelsea fan shows his displeasure at Juan Mata's lack of first-team action
Ujumbe kwa kocha: Shabiki la Chelsea akipeleka ujumbe kwa kocha Mourinho kwamba Juan Mata anastahili kucheza na si kukaa benchi
On the sidelines: Club captain John Terry was left on the substitutes' bench for the night
Benchi: Nahodha wa klabu, John Terry alisugua benchi
Flying the flag: Oscar celebrates after opening the scoring for Chelsea at the end of the first half
Anapeperusha bendera : Oscar akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mwishoni mwa kipindi cha kwanza
Fancy footwork: The Brazilian midfielder displays the quick feet that earned him his goal
Mikogo kwa mashabiki: Kiungo Mbrazil akishangilia bao lake
And the Oscar goes to... The Blues star blasts in from just inside the penalty area
Oscar anakwenda kufunga
No holds barred: Ashley Cole and Salah go flying in to the tackle to compete for the ball
Ashley Cole akipambana na Salah
WATOTO WA WENGER 
 
ARSENAL imeanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda ugenini mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Marseille Uwanja wa Velodrome, Ufaransa.
Mabao ya Gunners yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 65 na Aaron Ramsey dakika ya 83, wakati la wenyeji lilifungwa na Jordan Ayew kwa penalti dakika ya 90. 
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Gibbs, Koscienly, Mertesacker, Sagna, Flamini/Myaichi dk90, Wilshere, Ramsey, Ozil, Walcott/Monreal dk77 na Giroud.
Marseille: Mandanda, Fanni, N'Koulou, Mendes, Morel, Romao, Imbula/Thauvin dk79,  Payet/J.Ayew dk72, Valbuena/Khalifa dk89, A. Ayew na Gignac.
Stunner: Theo Walcott's volley set Arsenal on their way
Kitu hicho: Theo Walcott ameifungia Arsenal 
Stunner: Theo Walcott's volley set Arsenal on their way
At it again: Aaron Ramsey scored his sixth goal of the season to make it two
Kitu kingine: Aaron Ramsey amefunga bao la sita msimu huu
At it again: Aaron Ramsey scored his sixth goal of the season to make it two
Not my game: Mesut Ozil had to do a fair bit of tracking back
Si mchezo wangu: Mesut Ozil alicheza kiungwana katika ukabaji wake
Talented: Theo Walcott does his best to chase Marseille playmaker Mathieu Valbuena
Kipaji: Theo Walcott akipambana na kiungo wa Marseille, Mathieu Valbuena
On form: Jack Wilshere put in a combative midfield performance
Yuko juu: Jack Wilshere alicheza vizuri katika nafasi ya kiungo
No foul? A high boot is raised on Mathieu Flamini
Sito rafu? Buti la juu likimuelekea Mathieu Flamini
Club record: Arsenal tweeted their ten away victories
Rekodi ya klabu: Arsenal imetweet mechi zake 10 ilizoshinda ugenini
Hard to beat: Steve Mandanda kept Arsenal out until the 65th minute
Hafunguki kwa urahisi: Steve Mandanda aliibania Arsenal hadi dakika ya 65
Ouch: Arsenal felt they should have had a penalty after a foot was raised on Per Mertesacker
Yalaaa: Arsenal walifikiri walistahili kupewa penalti baada ya buti hili alilopigwa Per Mertesacker
On top: But did the Gunners rely on Ozil too much?
Yuko juu: The Gunners ina sababu za kujivunia Ozil
Consolation: Jordan Ayew nets a late penalty for the hosts
La kufuta machozi: Jordan Ayew akifunga kwa penalti
Workhorse: It's night like these that Flamini proves his worth
Mchapakazi: Flamini alionyesha yeye ni mchezaji hodari
Solid: Arsene Wenger (right) will be happy that Mertesacker and Wojciech Szczesny (left) kept a clean sheet
Solid: Arsene Wenger (right) will be happy that Mertesacker and Wojciech Szczesny (left) kept a clean sheet
Mgumu: Arsene Wenger (kulia) atafurahia Mertesacker na Wojciech Szczesny (kushoto) wasiporuhusu mabao
Number one: Walcott salutes the crowd after the final whistle
Nambari moja: Walcott akiupungua umati wa mashabiki baada ya mechi
Contrast: Olivier Giroud found it difficult but Ramsey was fantastic again
Alipigana: Olivier Giroud alishindwa, kufunga licha ya kupambana
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari