GUINNESS WORLD RECORDS mwaka 2013 katika chunguzi ambazo wamezifanya katika mwaka huu wamegundua kwamba hawa Ndio watu walio wafupi zaidi duniani kutokana na vipimo na taarifa mbalimbali zilizo za huhakika kutoka kwa wanahabari wao na wanasayansi mbalimbali
Bw Chandra Bahadur Dangi na Bi Jyoti Amge
TAZAMA VIDEO HII