Like Us On Facebook

AIBU:DIVA WA CLOUDS APEWA MAKAVU LIVE KUHUSU "MATAKO YAKE YA BANDIA

Huddah kushoto na Diva kulia..
Diva Loveness Love apewa maneno mazito na matusi kutoka kwa mashabiki wanaomfatilia katika kazi zake za hapa na pale. katika kauli hiyo shabiki huyo alifunguka na kumjadili Diva vya kutosha
 

Nanukuu "Huyu diva hivi ana akili kweli kudanganya watu kweupe ndio nini ... Embu angalieni hiyo picha ndio mtaelewa Yani Kabisa milima na mabonde kuvaa godoro ndio ili iweje ... Diva acha ujinga unachekwa mjini kwa kutafuta tako kinguvu acha kuvaa maana shape inajulikana ni Ya simba,, cha ajabu ukikutana nae hayupo hivyo kabisaaaaaaa...
 Na camera 360 acha kabisa unajipimp sana wakati We ni mbaya kuvaa malenz mwisho utapata macancer Ya macho Bure... ... Swala ni kuacha kuvaa matako bandia usishindane na hudda mwenzio kaajaliwa"

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari