
Ray kigosi akiwa anamuonekano wa ujana na uzee

Laidy Jaidee akiwa namuonekano wa ujana na uzee

                                                     Jackline walper akiwa na mwna muonekano wa ujana na uzee

Keylin akiwa na muonekano wa ujana na  uzee
Picha za wasanii hawa nyota bongo katika tasnia kuu mbili yan tasnia ya 
muziki na filamu zikiwa zimehaririwa na moja wa hariri wa kubwa wa picha
 East Afrika mwana dada toka nchini tanzania mwenye makazi yake zaid 
southafrika ajulikanae kwa jina la Victoria Edward zimetupiwa mtandaoni 
na kupendwa na wasanii wengi kupitia mtandao wa instagram..

