Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh. Emmanuel Nchimbi imesema wafungwa watakaonufaika na msamaha huo wa rais ni wale wagonjwa wa Ukimwi, kifua kikuu na saratani ambao wako kwenye hali mbaya. Wengine ni wazee wenye umri zaidi ya miaka 70 walioingia kifungoni na mimba na wale wenye watoto wachanga na wale wenye ulemavu wa mwili na akili.
 Aidha msamaha
 huo wa raia hautawahusu waliohukumiwa kunyongwa au wanaotumikia kifungo
 cha maisha, wanaotumikia kifungo kutoka na makaosa ya biashara ra ya 
dawa za kulevya , rushwa, wizi na unyang’anyi wa kutumia silaha , 
waliobaka, kunajisi  au kulawiti, wezi wa magari na wale waliowapa mimba
 wanafunzi.
 Aidha msamaha
 huo wa raia hautawahusu waliohukumiwa kunyongwa au wanaotumikia kifungo
 cha maisha, wanaotumikia kifungo kutoka na makaosa ya biashara ra ya 
dawa za kulevya , rushwa, wizi na unyang’anyi wa kutumia silaha , 
waliobaka, kunajisi  au kulawiti, wezi wa magari na wale waliowapa mimba
 wanafunzi. 
Wengine ni wale waliofungwa kwa matumizi mabaya ya madaraka na wale waliowahi kutoroka wakati wa kifungo.


 
 
 
 
 
 
