Like Us On Facebook

Picha tano za mikutano ya Dr. Slaa mkoani Kigoma..Mwenyekiti wa mtaa ajitoa CCM na kuhamia CHADEMA

 Baadhi ya waandamanaji wakiwa na mabango ya kumpinga Dr. Slaa...
Polisi  wakimsulubu  kijana aliyeleta  vurugu  eneo  la  mkutano....
Polisi wakidumisha  ulinzi  kwa  kukabiliana  na  waandamanaji....
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Community Center mjini Kibondo baada ya waleta vurugu kukabiliwa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akipokea kadi ya uanachama, kutoka kwa aliyekuwa Mwenyekiti Kitongoji cha Mtaa wa Shule katika Kijiji cha Mabamba kupitia CCM, Sevelino Damian, ambaye amehemia Chadema, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari