Like Us On Facebook

NOMA:Picha tatu za Wema Sepetu akiwa ndani ya pozi la nusu uchi.



Wema Sepetu amejikuta  akijishushia  heshma  yake  baada ya kutupia  picha mtandaoni zikimuonesha akiwa amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake  hasa  matiti, kitovu  na  kifua  kwa  ujumla.. 
 
Katika  picha  hizo  ambazo zinapatikana  instagram, Wema Sepetu anaonekana  akiwa amevaa kiblauzi chenye matundu kiasi cha kuifanya sidiria aliyovaa ionekane huku sehemu nyingine  kama  kitovu, tumbo  na  kifua  kwa   ujumla   zikiwa  wazi  pia.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari