Like Us On Facebook

JUSTIN BIEBER LEO AMETANGAZA RASMI KUSTAAFU MUZIKI


Justin Bieber amewapa mashabiki wake (Beliebers) zawadi mbaya kabisa ya Christmas mwaka huu: anastaafu muziki. Coll-Justin-Bieber-2013-Wallpaper-HD-Free.png Staa huyo wa Canada ameangusha bombshell hiyo kwenye Twitter na kuvilaumu vyombo vya habari kwa kuandika uongo kuhusu maisha yake.

Ni ngumu kujua kama kweli amemaanisha lakini kutangaza kwake leo ambapo filamu yake ya Believe imetoka, kutampa publicity ya nguvu.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari