Like Us On Facebook

DIAMOND, CHEGGE NA MWASITI WALIVYONOGESHA USHINDI WA STARS DHIDI YA UGANDA CHALLENGE MOMBASA USIKU WA KUAMKIA LEO

Msanii nyota wa Tanzania, Diamond Plutinums akiimba mbele ya umati wa mashabiki katika ufukwe wa hoteli ya Big Tree Beach Resort mjini Mombasa usiku wa kuamkia leo   katika onyesho maalum la wasanii wa kundi la Kigoma All Stars. Shoo hiyo ilifanyika saa chache baada ya timu ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kuitoa Uganda katika Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge Uwanja wa Manispaa, Mombasa kwa penalti 3-2 baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 90.    






Chegge wa TMK naye akifanya vitu vyake Mombasa



Mashabiki wa Tanzania walikuwepo ukumbini

Queen Darleen akiimba


Abdul Kiba alikuwepo pia

Maunda Zorro naye

Mwasiti pia

Hata Peter Msechu

Binti akiikakitikia kamba wakati Chegge anaimba 

Waandishi wa Habari za soka kutoka Tanzania, Somoe Ng'tu kulia na Zaituni Kibwana walikuwepo 

Mashabiki kwa raha zao
Recho pia alifanya vitu   

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari