Like Us On Facebook

CHELSEA YAPIGWA NAYO, LIVERPOOL YAUA 4-1, SUAREZ APIGA MBILI, MAN CITY DROO

BAO la dakika ya 90 la Oussama Assaidi, limezamisha Chelsea mbele ya Stoke kwa mabao 3-2 huo ukiwa ushindi wao wa kwanza katika Ligi Kuu ya England dhidi ya The Blues ndani ya miaka 38.
Winga huyo wa mkopo kutoka Liverpool, aliingia uwanjani akitokea benchi zikiwa zimesalia dakika sita na kufunga bao hilo muhimu lililmtoa kichwa chini kocha Jose Mourinho Uwanja wa Britannia.
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Andre Schurrle dakika za tisa na 53, wakati mabao mengine ya Stoke yalifungwa Peter Crouch dakika ya 42 na Ireland dakika ya 50.
Mbaya wao: Oussama Assaidi akishangilia baada ya kufunga bao lililoizamisha Chelsea mbele ya Stoke
Title blow: Jose Mourinho watches his side slip to a shock defeat at the Britannia Stadium
Kocha Jose Mourinho akiwa hana raha baada ya kipigo
Dejected: Chelsea players can't believe they lost the game in the dying moments
Wachezaji wa Chelsea wakiwa hawaamini macho yao

Katika mchezo mwingine wa ligi hiyo, mshambuliaji Luis Suarez ameendelea kung'ara baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 nyumbani dhidi ya West Ham.
Suarez alifunga mabao yake dakika za 81 na 84, wakati mengine yalifungwa na Demel aliyejifunga dakika ya 42 na Sakho dakika ya 47, huku la kufutia machozi la wageni likifungwa na Skrtel aliyejifunga pia dakika ya 66.
Nayo Manchester City imelazimishwa sare ya 1-1 na Southampton ugenini, Sergio Aguero akitangulia kufunga dakika ya 10 kabla ya Dani Osvaldo kuwasawazishia wenyeji dakika ya 42.
Getting the show on the road: Luis Suarez (second right) saw his shot saved then go in off of Guy Demel
Mkali kweli: Luis Suarez (wa pili kulia) akipongezwa na wenzakeOpener: Suarez celebrates after his shot was saved and went in off of Guy Demel
Suarez akishangilia Tough task: West Ham's defence could not keep Suarez in check for the full 90 minutes
Suarez akitafuta mbinu za kumtoka beki wa West HamOpener: Sergio Aguero scored the first of the game when he connected with Aleksandar Kolarov's cross
Sergio Aguero akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la kuongoza Mancester City
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari