Like Us On Facebook

NAPATA MAUMIVU MAKALI SANA WAKATI WA TENDO LA NDOA...!! USHAURI JAMINI, NINI NI TATIZO...??





Mimi ni msichana wa miaka 24 na nina mpenzi wangu ambaye tunapendana tu, tatizo ni kwamba ninapokutana naye kimwili raundi ya kwanza huwa naenjoy sana

ila raund zinazofuata huwa sijisikii tena na matokeo yake huwa nasikia maumivu makali sehemu za siri kiasi kwamba huwa sioni raha ya mapenzi bali karaha tupu...!! Na mpenz wangu huwa anajitaidi sana kuniandaa lakini naona haisaidi...

Je wadau hili ni tatizo la kwenda hospitali..?naombeni ushauri wenu ndugu zangu sababu nimekuwa nikipata tabu hii kwa muda mrefu sasa.


TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari