Like Us On Facebook

MIMBA YAHARIBU SURA YA ROSE NDAUKA BAADA YA USO KUVIMBA KILA MAHALI



Mwanamke mjamzito hatambuliki kwa tumbo lake tu, bali hata usoni. Miongoni mwa mabadiliko anayoanza kuyapata mwanamke awapo na ujauzito ni uso wake kuvimba hasa sehemu ya pua.
 
Hali hii ndio iliyoanza kumtokea, staa wa filamu nchini, Rose Ndauka ambaye ni mjamzito wa miezi kadhaa.
Akiweka picha aliyopiga na mchumba wake, Malick Bandawe aka Chiwaman wa kundi la TNG Squad kwenye Instagram, Ndauka ameandika:
 
“Unanafasi nyingi sana kwenye maisha yangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na afya tele @don_chiwaman ...nakupenda sana hubby wangu.”
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari