Like Us On Facebook

VIDEO:MADEREVA WA BODABODA WALIVYOMKANYAGA KIJANA MWENZAO MPAKA KUFA,INASIKITISHA SANA


                 Huu  ni  unyama  uliopitiliza.Tumezoa  kuyaona  matukio  kama  haya  yakitokea  huko  Nigeria.Leo  hii  tunajiona  kwa  macho  yetu  hapa  hapa  nchini  Tanzania.
 
Huu ni unyama walioufanya madereva boda boda kwa kijana ambaye haikuweza kujulikana mara  moja  kuwa kosa lake ni nin.

Kijana huyu amefungwa mikono kamba na madereva boda boda wanamshambulia kwa zamu kwa kumgonga .

Tazama Video yenyewe hapa chini  kisha  toa  maoni  yako
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari