Like Us On Facebook

SNURA:KIUNO changu kimeniongezea idadi ya wanaume wanaonitongoza....Wapo wanaotaka kuninunulia gari huku wengine wakiahidi nyumba


                Staa wa Majanga, Snura Antony Mushi ‘Snura’ amesema kuwa  mauno  anayoyakata  katika  shoo  zake  yamemfanya  apate  maombi  mengi  toka  wanaume  hasa  waume  za  watu..

Akiongea na mpekuzi wetu, Snura alisema kukata mauno kwenye shoo ndiyo silaha yake ya kuwateka mashabiki lakini anashangaa kuona wanaume za watu ndiyo wanaongoza kwa kumtongoza  huku  wakiahidi  kumnunulia  magari  na  wengine  nyumba.
 

“Sipendi kabisa kusikia masuala ya wanaume za watu, Wapo  wanaoniahidi  gari  na  wengine  nyumba.Labda  wangekuwa  sio  waume  za  watu  ningeweza  kufikiria . ,” alisema Snura.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari