Like Us On Facebook

Natafuta MWANAUME mwenye mapenzi ya dhati....Sina mtoto na sijaolewa

 
                Mimi  ni  mwanamke  mjasiliamali mwenye  umri wa miaka 25.Ni  mzaliwa  wa  Sumbawanga  ila  makazi  yangu  kwa  sasa  ni Dar.Sina  mtoto  na  sijaolewa.

Natafuta  mwanaume  mwenye  mapenzi  ya  dhati  ili  awe  mume   wangu  baadae.Mimi  sichagui  dini  wala  kabila, ila  sipendi  mwanaume  mgomvi  na  malaya  maana  siku  hizi  kuna  magonjwa  mengi.

Mwenye  nia  ya  dhati  tuwasiliane  kwa  email  yangu  ili  tupeane  namba  za  simu.

Email:agnessmd2@yahoo.com
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari