
SIFA    ZA   WAOMBAJI: 
1.     Awe  kijana  wa  kikristo  aliye okoka  na  mwenye hofu  kuu ya  Mungu. 
2.    Elimu  ya  kuanzia  darasa  la  saba, kidato  cha  nne hadi  cha  sita. 
3.     Awe  na  wito  wa  kufanya  kazi mbalimbali  za kihuduma. 
4.     Awe  anaabudu  katika  kanisa  lolote  la  kiroho 
MALIPO   : Shilingi  ELFU  KUMI  NA  TANO ( Tshs. 15,000/) KWA  SIKU. 
Mwisho  wa  kupokea  maombi  ni  tarehe  30  OKTOBA 2013.
Tuandikie  barua  pepe:  ulimiwamungu@gmail.com 
     AU   Tupigie            0784406508.

