Like Us On Facebook

JAMAA AMFUNGA KUFULI MPENZI WAKE NA KUONDOKA NA FUNGUO ILI ASIMSALITI..!

                Mwanamme mwenye wivu amfungia na kufuli mpenzi wake ili asi cheat na kuondoka na  funguo.
Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 25 aliamua kumshtaki mpenzi wake kwa polisi  baada ya kuchoka kuvumilia maumivu ya kukaa masaa bila kwenda haja na kuogopa kukata Jeans kwa mkasi kwa kumuogopa mpenzi wake huyo mwenye Umri wa miaka 40 angeweza kumuacha.HII KALI SANA WIVU NOMA DAHH
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari