Like Us On Facebook

HII NDO STAILI MPYA YA UVAAJI WA MADEE ICHEKI HAPA ILIVYO

                             Mtindo wa msanii Madee kufungua mkanda na kuacha unaning'inia kama unavyoonekana pichani imekuwa ni kama tabia inayojiendeleza siku hadi siku, kwa mara ya kwanza namuona Madee akiwa hivyo ilikuwa kwenye tamasha la Kili Tour dsm nilidhani ameshiba sana ha hivyo kuamuakuachia mkanda wazi lakini imekuwa kibyume maana kila napokutana nae naona muonekano ule ule na kuja kujiuliza kuwa ile ni fashion yake ya kipekee ama nn?
Juzi kupitia Acc ya Instagram ya Bdozen aliputia picha akiwa pamoja na Madee na nikaona tena hiyo, baada ya kupitia comment za watu mbali mbali nikakutana na Comment ya Star mwengine wa Bongo Fleva Shaa akitaka Madee amtoe ushamba kuhusu uvaaji huo. Tazama picha.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari