Like Us On Facebook

DIRECTOR BONGO MOVIE AFUMANIWA NA MKE WA MTU GESTI,WAKUTWA NA KONDOMU TANO ZILIZOTUMIKA



                   Vitendo vya madirector wengi wa filamu kupenda kuwarubuni wasanii wachanga kuwa kama watatoa uroda basi watapewa nafasi ya kucheza filamu na kuwa mastaa wakubwa imemtokea puania msanii na director maarufu wa bongo movie Edward Nicas Temu  maarufu kwa jina la Nicas baada ya kufumaniwa na mke wa mtu ambae ni msanii wa kundi lake.

Jina la Nicas ni jina maarufa sana hasa kwa wasanii kufutia huyu mshikaji kuwa kwenye sanaa kitambo akiwa kama msanii na director .Kwa  kipindi kirefu amekuwa akifanya kazi za watu lakini siku za hivi karibuni alianzisha kundi lake huko maeneo ya Kinondoni Moscow na kukusanya makumi ya wasichana kwa ajili ya kucheza filamu zake...


Kutokana na wakidada wengi hasa Underground kupenda kuigiza, jamaa  huyo  alijikusanyia warembo wa kila aina na alifanikiwa kuwachezesha filamu zake tatu Bad Father,The Reason,House Girl N Boss...
 

Habari zaidi zinaripoti  kuwa baada ya kumaliza kuwachezesha filamu hizo msanii huyo alianza kumuweka karibu mmoja wa wasanii wake  ambae ni mke wa mtu anayeishi na mumewe maeneo ya Kawe Jijini Dar.

Akiongea na Xdeejayz , mume wa mischana huyo Abdula Sanga alilaani  kitendo  cha  boss wake  kujimegea  mkewe  kwa  kofia  ya  cheo  chake.


" Nampenda sana mke wangu na ndio maana nilikuwa nimemruhusu akafanye sanaa lakini baadae niliambiwa na shoga yake kuwa kuwa bosi wake anataka kumla uroda ili amuweke kwenye kava ya cd ya filamu yake na kama hatotoa uroda basi hatamuweka" Alisema kijana huyo ambae ni mfanyabishara.

Abdula Sanga aliendelea kusema baada ya hapo alimuomba huyo rafiki na mkewe ampe ushirikiano ikiwa ni  pamoja  na  kumuhabarisha hatua kwa hatua ambapo hadi siku ya tukio alitaarifiwa ni wapi wanapokwenda kupeana uroda...


"Niliandaa askari wangu na tukaweka mtego Guest iitwayo Bundo iliyopo Kinondoni Moscow na hatimae mtego  wangu ulinasa na kumfuania mke wangu live akiwa na huyo bosi wake wa sanaa" Alisema Sanga kwa jazba.  

Mwandishi wetu alishuhudia  kindomu  tano  zilizotumika  ndani  ya  chumba  hicho .Kwa  tafsri  ya  haraka  haraka  ni  kwamba tayari mke huyo alikuwa ameshaliwa mara tano,  hali iliyoamsha hasira za mume wa mke huyo na kuanza kumvurumushia makonde msanii huyo hadi polisi walipoingilia kati.

 Picha  zaidi  za  tukio  hilo:

<<PICHA YA KWANZA>> 
<<PICHA YA PILI>>
<<PICHA YA TATU>>
<<PICHA YA NNE>>
<<PICHA YA TANO>>
<<PICHA YA SITA>>

Source-Xdeejayz
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari