Like Us On Facebook

BINTI AJIKOJOLEA BAADA YA KUNYWA POMBE KUPITA KIASI




                Huyu ni mwanamke  aliyekutwa  akiwa  hoi  baada  ya  kunywa  pombe  kupita  kiasi.....

Sakata hili ambalo  lilitokea katika  party  ya rafiki yake lilizua  gumzo  kubwa baada  ya  mrembo  huyu  kujikojolea....

Mwanzo  alionekana  akiwa  ni  mtu mwenye furaha na  mchangafu.Baada  ya  pombe kumwelemea,  binti huyu alijisogeza pembeni na  kujilaza  na  ndipo  aibu  ya kujikojolea  ilipomkumba
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari