Like Us On Facebook

"SIPIMWI NGOMA NG'OO"....JOHARI


             STAA wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa hana mpango wa kupima ‘ngoma’ kama ilivyoripotiwa katika baadhi ya vyombo vya habari.
Akiongea na paparazi wetu, Johari alisema hakufurahishwa sana na taarifa hizo za kupima ugonjwa huo na kusema ukweli ni kwamba yeye hajawahi na wala hana mpango wa kupima.
Nachukia sana watu kusema kuwa eti tunapimisha watu Ukimwi, nahisi kuna mtu anataka kunichafulia tu. Sisi wote hapa RJ hatujapima Ukimwi wala hatuna mpango wa kufanya hivyo,” alisema Johari.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari