Like Us On Facebook

INASIKITISHA SANA JINSI KANSA YA ZIWA ILIVYOMHARIBU MREMBO HUYU.....


Idiagbonya Osarere Debbie ni medical technician anayesumbuliwa na gonjwa hatari la kansa ya ziwa na inaenea kwa kasi sana
.Titi moja limeshaharibika na tatizo hilo limehamia kwenye titi la pili na shingoni. Anahitaji (N6 million)  ni sawa na shillingi 59,918,510.83 za kitanzania(tuseme milioni 59,920,000) ili afanyiwe oparesheni na familia na marafiki zake wanasema siku zake za kuishi zilizobaki hata mwezi hazifiki asipofanyiwa oparesheni hiyo haraka . Walikuwa wanaomba msaada wachangiwe kiasi cha fedha haijalishi ni kidogo kiasi gani wanaomba sana wasaidiwe ili ndugu yao afanyiwe oparesheni. Picha zingine za hali ya Debbi ya sasa.







 
 

 
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari