Like Us On Facebook

HII NDIO TATOO ALIYO CHORA AMBER ROSE {usoni}AMBAYO WADAU WASEMA KUWA NI YA IMANI YA DINI YA KISHETANI (freemasonry)





Wiki Iliyopita Amber alionyesha picha iliyoshangaza wengi baada ya kuona Tatto ya msalaba kwenye paji lake la uso, Msalaba huo unaonekana ukiwa umechorwa tofauti, JuU ni Chini na chini pamekuwa juu. 
SOMA NA ANGALIA PICHA ZAIDI....Mashabiki wa Amber walikuwa mstari wa mbele kwenye kuliza maswali kuhusu mchoro huo bila kupata majibu wala maelezo kutoka kwa Amber ambaye ni mama mtoto wa Rapper Wiz Khalifa. 


Mpaka sasa tafsiri ya wengi imekuwa inahusisha mchoro huo na imani za kishetani.




TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari